Sasawa CCM...
Kipchoge ametekeleza ilani ya chama cha mapinduzi[emoji1787][emoji1787]
Hii kw juhudi za ccm..
CCM hoyeeee
Olympic
Hiyo sub 2 hrs marathon record inatambuliwa na world athletics body gani?
Asante kwa kuthibisha kuwa huna point 😂😂😂Sina mda na hayo unayotaka kuyaleta...
Rudi kwenye mada au ukae kimya
"Olympic" ni World athletic body gani hiyo?Olympic
Nimeijuaje nini? Stop asking questions lazily.Wewe umeijuaje?
Imenibidi nicheke tu mzee baba...kwaiyo huamini kamba kwa umbali ule na mda aliotumia ni sawa ni 5m per sec ama nini?
Mind u,iyo splinting rate ya 5m per sec ni by assumption kwamba alikuwa anakimbia constatnt speed mwanzo mpaka mwisho.
Ameendeleza ubabe wa Wakalenjin kwenye marathon. Nyie Wakikuyu endeleeni na juhudi zenu za kupekejeng mbwa na wizi.
Asante kwa kuthibisha kuwa huna point [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeijuaje nini? Stop asking questions lazily.
"Olympic" ni World athletic body gani hiyo?
Wameitambua wapi recird hii ya Kipchoge? Weka link hapa.
Watanzania mnakuwaga na figisu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nakaziaVipi na yule mkenya aliyeolewa south hawataonesha live akitinduliwa marinda?
Jamaa ndio anashikilia records zote sasa unabisha ili iweje,mwenzako dunia yote ilikua ina mwangalia leo zaidi ya hapo kapelekewa private jet!!..bado unabisha tuBottom line, popote utakaposoma, this is not a marathon record.
Ni matangazo ya biashara za watu tu.
Munaowaabudu wazungu ndo mujue kama hawapendi kuona wa Afrika wanafanya vizur, eti rekodi hsitatambuliwa kwan kukimbua c ndo kulekule au hamna wanachogombania hapo ?. Angekuwa mzungu unazani wangesema rekodi hiyo haitatambuliwa?
Hiyo sub 2 hrs marathon record inatambuliwa na world athletics body gani?