Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Hivi walimu hivyo Vishkwambi hamtumii vizuri eeh!?Kipchoge sio maarufu !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe yakoHuna akili
Mbongo wanaopata Followers wengi ni watu wa Udaku, au wanaotengeneza Kiki... Nigeria ina raia Million 200, sisi Bongo tunaingia kwao Nigeria mara 4 tukiwa na Raia million 60, lakini Wasanii wengi wa Nigeria walikuwa wanazidiwa followers na wasanii wa Tanzania.Unafikili kwann bongo kupata followers ni rahisi sana
Mwamba muulize kuhusu kusimanga waalimu ndio utajua yeye ni nan..Kipchonge sio maarufu? Unaleta utani wewe
Nadhani atakuwa keshaenda zake uturuki kuchongesha jinsia,ahaaaaMwanaume mzima unafuatilia mwanaume yupi kawa followed na mwanaume gani. Ni afadhali tu ungezaliwa mwanamke aisee kama ambavyo huwa unatamani.
This is embarrassing!
Kuna siku dunia ilikaa kumfatilia Eliud, ni lini Erick alifatiliwa na dunia?Angalia Omondi na eliud Nani mwenye followers wengi
Soma hapa we Mpwayungu Village uelewe!Bongo kupata followers wengi sio kazi ngumu kama ukiwa na content za kufurahisha waswahili hasa za kuwapa umbea umbea wakuongelee.
Kuna watu kibao marekani wana majina makubwa sana usa. Ila wanazidiwa idadi ya followers na wabongo kina mobetto.
Ndio maana mitandao mingi CPM za views wanalipa kutokana na location ulipo.
Msanii akipata views millioni 1 wa watu walio majuu anapata hela nyingi kuliko akipata views milioni 10 za watu walio bongo. Sababu wanajua nchi zetu zimejaa wajinga wengii wata wakifollow ama kutazama kitu kwa wingi bado hawana effect
Kwa kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe Mpwayungu wewe....
Unamjua au kumfuatilia Kipchonge vizuri kweli hadi useme siyo maarufu..Ngoja watu wa Athletes waione hii...
Anyway...Nenda hapo Google kamsome vizuri.
Huyo amber wako kuna mtu gani wa maana duniani kamfolow?.Hii mitandao inavyotumika uku kwenye nchi zetu nyeusi na nchi nyeupe ni tofauti sana.Kwahiyo jipe muda ufikirie vizuri utajua hao watu wawili ni mbingu na ardhi kwenye maisha halisi nje ya mitandao unayobabaika nayo kisa followers.Angekuwa maarufu kihivyo basi asingezidiwa followers na umber lulu
Hayuko serious huyu aisee....Kipchonge sio maarufu? Unaleta utani wewe
We jamaa akili huna kuna wasanii wakisukuma kutokana nauwingi wakabila lao wanafollowers kibao akina inaga, kisima, gudegude ila hata hapa moro hatuwajuiAngalia followers Instagram Nani anao wengi
Ulifanikiwa kupata mume?Angalia Omondi na eliud Nani mwenye followers wengi
Hussein bolt = Usain Bolt. Ila wewe jamaa ni mjinga kinoma. Unawezaje kuwaponda waalimu wakati wewe ni mjinga kiasi hiki?Hamshindi hussein bolt