Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Hahahahaaa
Hutaki makombo eeh

....Afu akirudia tena, wewe kama chairman unampa barua yenye mwandiko wa rangi nyekundu ambayo ina maana ya kifungo cha mahusiano kwa muda wa miaka mitatu mpaka ajirekebishe...Au wewe mwenyekiti una maoni mengine?
 
halafu wewe kila ukipita nyuma yangu nakuwa mduchuu hasa nikifikiria haya mapinduzi yako... Nakumbuka usemi usemao mwenzio akinyolea, zako tia maji

cc: Arushaone


Usiogope mpenzi, mimi ndio presidaa, mwenyekiti yuko chini yangu kimadaraka. Afu ingekuwa kwenye utawala wa zamani wa Baba V ungeweza kuogopa ila utawala huu uko siriaz sana.

CC Erickb52
 
Last edited by a moderator:
ila kaka sina mahusiano naye yoyote bali yeye ndo anani.......
naogopa kumalizia hapa kwani akija m.......r akiona itakuwa soo lingine bure
oky basi sitamleta asante kwa kuniambia hivyo nilikuwa sijui kaka
Sawa..ila kwa huyu lazma uwe makini sana coz utapata presure kwa kufumania kila mara
 
Back
Top Bottom