Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,646
sidanganyinki ng'ooo !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sidanganyinki ng'ooo !!!
hata kwa mawe siwezi kuhamia mjini nitakuwa nakiuka utaratibu wa baba wa taifa ule wa kujitegemea alitutoa mjini akatuleta huku kijijini na sasa tumezoea hatuna tena mawazo ya vyakula vya kupima
Mie nipo,wasalimie wanao wooote,next w/kend takutembelea..miss u
Nipo best unasemaje?
I miss u too
Mie nipo tu siku zasonga.....
Hivi mbona hujaja kujitambulisha rasmi kwangu?
Au ladyfurahia kakuambia hana kaka?
Hujaonjeshwa nanii wewe utataka upewe kila saa ooooh
Jaribu uone magic za maeneo ya katikati hahahahaaa
Cc Chocs Lady doctor Bishanga The secretary Mamndenyi
Mie sijambo.
Napetiwa hapa na my huz tedo.
My huz mwingine Ben Saanane kaenda kwenye mkutano, Chilli katoka, Remote kasafiri, Chibolo yuko shamba.
Arushaone ananibembeleza turudiane.
Ruhazwe JR yuko kwa mamake Mamndenyi.
Hali yangu nzuri sana na ka mimba kangu.
Nitakuja kumtambulisha kwako soon....nani kakuambia ni ladyfurahia...
Hahahahaaa Lady doctor huyu jamaa ( Ben Saanane ) hakawii kusema Wote ni wake....hahahaaaa
hata kwa mawe siwezi kuhamia mjini nitakuwa nakiuka utaratibu wa baba wa taifa ule wa kujitegemea alitutoa mjini akatuleta huku kijijini na sasa tumezoea hatuna tena mawazo ya vyakula vya kupima