Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh Erickb52 umekomaa na hii hadi huku?
Madame B, Umesema hata nikisepa utakua na nani ?Nimekusikia....
Elizabeth Dominic......:A S new:
bora bestito umwambie ukweli maana anaona umenyamaza kimya
hajui kuwa kimya kingi ni mshindo?
nimeufuatilia huu uzi kwa makini ila nikasema sichangii hadi nitakapo sikia kauli yako shem, now umetoa la moyoni japokuwa umeongea kiutatautata.......!
figganigga ni wangu,wangu peke yanguYeah ujumuike kwenye SACCOS hahahahaaa
Shem huyu Ben Saanane anampenda sana Elizabeth Dominic sema akiikumbuka mimba walompa Madame B anaweweseka
Lady doctor,.....nimeufuatilia huu uzi kwa makini ila nikasema sichangii hadi nitakapo sikia kauli yako shem, now umetoa la moyoni japokuwa umeongea kiutatautata.......!
Hujaonjeshwa nanii wewe utataka upewe kila saa ooooh
Jaribu uone magic za maeneo ya katikati hahahahaaa
Cc Chocs Lady doctor Bishanga The secretary Mamndenyi
Lady doctor,.....
Shem nimeshangaa hao waliotoa 'Likes'Kwenye hii thread ya Erickb52 kumbe walikua hawapendi uhusiano wetu na Madame B? Au ndo wamependa tuwe na Elizabeth Dominic maana Likes zao pia ni Utata!
Shem huyu Ben Saanane anampenda sana Elizabeth Dominic sema akiikumbuka mimba walompa Madame B anaweweseka
Lady doctor,.....
Shem nimeshangaa hao waliotoa 'Likes'Kwenye hii thread ya Erickb52 kumbe walikua hawapendi uhusiano wetu na Madame B? Au ndo wamependa tuwe na Elizabeth Dominic maana Likes zao pia ni Utata!
hata kwa mawe siwezi kuhamia mjini nitakuwa nakiuka utaratibu wa baba wa taifa ule wa kujitegemea alitutoa mjini akatuleta huku kijijini na sasa tumezoea hatuna tena mawazo ya vyakula vya kupimaSlave mambo vipi,
Nilikupa ushauri wa bure hamia town unanizirau;
si unaona unavyokosa vitu vya mujini? ha ha ha utani tu lakini.
Wala usiniogope....mimi ni muidhinishaji tu wala sina kosa...nafanya kwa kufuata maelekezo...utashi wangu sio saaana ni waoawao<br />By Erickb52<br />
Shem huyu <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=1098" target="_blank">Ben Saanane</a></b> anampenda sana <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=61874" target="_blank">Elizabeth Dominic</a></b> sema akiikumbuka mimba walompa <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=80055" target="_blank">Madame B</a></b> anaweweseka
<br />
Erick haya mapinduzi yako ya kuvunja ndoa za watu mi nimeshaanza kukuogopa<br />
<br />
cc: <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=88388" target="_blank">Madam B</a></b>, <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=1098" target="_blank">Ben Saanane</a></b>
shem wewe ndio mtoaji maamuzi wa mwisho ujue, kauli yako ndio yaweza kufanya watu waendelee kusheherekea au wanyamaze kabisa...!
Sasa na wewe usijenge utata tuambie moja Eliza au Madam!