Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Hello wana Chitchat!
Ninaomba mpokee taarifa ya mahusiano mapya kati ya Elizabeth Dominic na Ben Saanane kuanzia leo.
Nimeyafiki mapinduzi haya kwa kuwa Madame B anamiliki SACCOS ya wanaume wakati Elizabeth Dominic hana wa kumpetipet. Tabia hii ya SACCOS ya Madame B imekuwa ikimuumiza sana Ben Saanane na kumnyima usingizi akiwaza ni lini atapata mke wake peke yake...! Hivyo leo wameamua kuungana na huyu kimwana kuwa kitu kimoja ili awe ana bofya akijisikia na sio kupangishwa foleni kama yuko clinic!
Nawatakia maisha mema ya ndoa yao!

I remain
Erickb52
Mwenyekiti wa Mahusiano

Special Copy: Madame B

Cc Arushaone Bishanga Chocs Arabela Filipo The secretary Mamndenyi Kaizer DEMBA sosoliso Paloma amu Heaven on earth Lady doctor charminglady C6 Fixed Point SnowBall gfsonwin snowhite Dark City sweetlady Blaki Womani PakaJimmy Mungi LiverpoolFC nitonye Avemaria beibe nasty Preta watu8 ladyfurahia measkron @ stevoh YNNAH KOKUTONA Excellent Katavi kiwatengu shansarie Passion Lady Mtoto halali na hela Mentor TANMO Ruttashobolwa-Mr Rocky Dena Amsi Slave KakaKiiza Nivea mimi49 zubedayo_mchuzi mwallu Mrembo by Nature Mzee Kongosho Baba V Mzee wa Rula marejesho Nicas Mtei Asprin chama-

Duh Erickb52 umekomaa na hii hadi huku?
Madame B, Umesema hata nikisepa utakua na nani ?Nimekusikia....
Elizabeth Dominic......:A S new:
 
Last edited by a moderator:
unajikoshatu hapa ili mkeo akuone ni muaminifu kumbe hakuna kitu. Kutwa kutongoza wanawake humu

Kujikosha lazma siunajua mahaba yanadumu kwa kuweka upendo na matendo wazi...nampenda sana mpenzi wangu Chocs lazma niwe wazi DEMBA
 
Last edited by a moderator:
mzima bukheri wa afya..chini ya uangalizi wa kakio - unafikiri kinaharibika kitu!!!

haya nimerudi--full back back unichoke mwenyeeeewe wiii!!!

ila sijui unalalaga wewe mtu? Mumeo anakula saangapi masapto ya usiku?!?! khaaaa

Huyu ni kama mhindi...mlo ni mchana kweupeeeee!
Siunajua cha mchana kilivyo kitamu Paloma ?

Cc Heaven on earth
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa sasa si utanikosa bby wangu?
Moyo tangu lini ukadondoka na mtu akabaki hai?
Na kumbuka moyo haudondoki mara mbili....ulishakudondokea wewe hakuna mwingine!
Cc mwallu
A ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Halafu Paloma ujue Mungu hapendi

Ndio! Hapendi!

Kuzua ya kuzua kama ulivomzulia shogaangu Madame B wakati wenyewe wanashona wanadarizi ma mapenzi yao yanayeya!

Hapendi!!!
Hapendi upishi wako wewe Erickb52 wa kuyapika, kuyapakua na kuyamwaga kwenye sredi mambo ya mapenzi ya watu!!! Inahuuuuuu!!!

Hapendi kabisa!!!

Sasa mkodombwe unakuhusu!!! hii ni kama trailer tu!!! Bishanga apumzike sasa, umbebee mikoba yake ya kusutwa!!!
Chocs shosti utatuwia radhi kwa mumeo kusutwa lazima asutwe! Tena kwa kigoma cha kidumbaki!!! Kama unamuonea huruma sana mtie kamba, aingie adaab! aufyate!!!
 
Last edited by a moderator:
Babu si wanasema maini hayazeeki? Nyama utachemsha masaa matatu ila maini shurti ukarangize tu


Ndo mambo gani tena ya kuanza kumsumbua babu...

Mwache apumzike bwana....he had enough of his share...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
usaliti unaanza hivi hivi Chocs kua macho na mumeo
Hahahahaaa sasa si utanikosa bby wangu?
Moyo tangu lini ukadondoka na mtu akabaki hai?
Na kumbuka moyo haudondoki mara mbili....ulishakudondokea wewe hakuna mwingine!
Cc mwallu
 
Last edited by a moderator:

ila mwenyekiti ujue huo ni wizi
wa waume za watu tena kimachomacho
mi mtu akimgusa loya ujue ni kesi ya kummwagia
mtu kile kimiminika kinachobabua na kuharibu reception!!

 
Back
Top Bottom