nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,342
- 3,885
Ninao 8.
Ila 4 ndo wako active.
Hawa wengine tunasukuma ndoa tu.
Unanitaka na wewe!
unawahudumia vp wote au ndio yale ya poor service delivery
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninao 8.
Ila 4 ndo wako active.
Hawa wengine tunasukuma ndoa tu.
Unanitaka na wewe!
Madame B, siku ile nilizuga tu ili nipate huruma yako, nilale kwako. Huoni tulivyo u saula tu pombe yote ilivyokata? Unakumbuka nilivyosimamia kucha hadi jua la saa nne asubuhi? Unakumbuka ulivyokuwa ukiipepea tukuyu baada ya kuepelekewa moto wa gesi?Huyo Bujibuji hata bure simtaki.
Mwanaume gani anakunywa mpaka anasahau nyumba yake.
chama unaongea sana na wewe, mi mwenzako ni mtu wa action tu, bila kujalisha ni mbinu dhaifu kiasi gani nitaitumia, lakini mwisho wa siku lazima nile kuku na mchele wake
Wewe Elizabeth Dominick, uliza mie na my honey Ben Saanane tulipo.
Ben Saanane hana ubavu wa kuniacha mimi hata kwa chembe.
Hathubutu katu.
Copy kwa shem wangu Ritz.
Kwanza hata ukimchukua Ben Saanane, nitajikunyata kwa ZeMarcopolo, au nitamnyang'anya Mamndenyi huyo chama wake.
Chezea wanawake wa mjini.
Mjini msingi kiuno...
Copy kwa MKODOBWE INC
Lisa, snowhite, gfsonwin, Lady doctor, lara 1, kipipi, King'asti, amu, Paloma, mimi49, Blaki Womani, miss chagga, Heaven on earth, hapiness win, miss strong, tinna cute....njoeni tumsuteni Elizabeth Dominic...
Mwenyekiti Erickb52, natengua Uhusiano huu mpya.
Kwanza nina mimba yake ya miezi 6.
Copy kwa:
Mashemeji watu8, sosoliso, platozoom, mwekundu.
Mawifi: Chocs, mwallu, measkron, Munkari, charminglady (wa zamani)
Mabinamu: Mwita Maranya, Mr Rocky.
Mpwa: Paw.
Wanafunzi wangu Kaizer, Mentor.
Wadogo zangu wote, Dada zangu wote.
NAWATANGAZIA KUWA NAJUA KUPENDWA, SIJUI KUACHWA
Erickb52, kumbuka kuna Tindikali na sindano za kutobolea macho, Ohooo..!!!!!
We pokea rushwa tu.
Copy kwa Baba Mtumishi kandukamo1.
Mie sijambo.
Napetiwa hapa na my huz tedo.
My huz mwingine Ben Saanane kaenda kwenye mkutano, Chilli katoka, Remote kasafiri, Chibolo yuko shamba.
Arushaone ananibembeleza turudiane.
Ruhazwe JR yuko kwa mamake Mamndenyi.
Hali yangu nzuri sana na ka mimba kangu.
Ha ha ha.. kinachoenda kwa kuzunguka.. kinarudi kwa kuzunguka vle vle eeh dada..!
Hahahahaaa
Kwangu pamejaa neema full...kama unamtaka Vin Diesel sema tu nikukabidhi maana nayeye ni screpa km wewe
Pumzika my wii usijepata presha ya kushuka na ujauzito wako...afu Ben Saanane ahusike hapo asije akakimbia majukumu
BTW nlikumiss mno wifi yangu..msalmie wifi mkubwa ladyfurahia
Mie nina ndoa....
Nimekaa hapa nawasikiliza tu.. leo angalau ndo nimefumbua macho na angalau nakumbuka hata jina na jinsia yangu baada ya kunywa mfululizo tangu alipotangazwa raisi mpya wa TFF.. bili yao nimewaandikia cheque asubuhi hii dadadeki..