Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Wewe Elizabeth Dominick, uliza mie na my honey Ben Saanane tulipo.
Ben Saanane hana ubavu wa kuniacha mimi hata kwa chembe.
Hathubutu katu.

Copy kwa shem wangu Ritz.
Kwanza hata ukimchukua Ben Saanane, nitajikunyata kwa ZeMarcopolo, au nitamnyang'anya Mamndenyi huyo chama wake.

Chezea wanawake wa mjini.
Mjini msingi kiuno...
Copy kwa MKODOBWE INC
Lisa, snowhite, gfsonwin, Lady doctor, lara 1, kipipi, King'asti, amu, Paloma, mimi49, Blaki Womani, miss chagga, Heaven on earth, hapiness win, miss strong, tinna cute....njoeni tumsuteni Elizabeth Dominic...

Mwenyekiti Erickb52, natengua Uhusiano huu mpya.
Kwanza nina mimba yake ya miezi 6.
Copy kwa:
Mashemeji watu8, sosoliso, platozoom, mwekundu.

Mawifi: Chocs, mwallu, measkron, Munkari, charminglady (wa zamani)

Mabinamu: Mwita Maranya, Mr Rocky.

Mpwa: Paw.
Wanafunzi wangu Kaizer, Mentor.
Wadogo zangu wote, Dada zangu wote.
NAWATANGAZIA KUWA NAJUA KUPENDWA, SIJUI KUACHWA

Erickb52, kumbuka kuna Tindikali na sindano za kutobolea macho, Ohooo..!!!!!
We pokea rushwa tu.
Copy kwa Baba Mtumishi kandukamo1.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Afadhali umekuja kuweka rikodi sawa hapa shem Madame B.. Yaani huyu mwanamapinduzi Erickb52 a.k.a Che guavara anakula rushwa mbaya lol..

Shem, unajua watu wanayaonea gere mahusiano yangu na waume zangu.
Wanapendana, wanapatana.
Hvo wanataka watuvuruge.
Erickb52, Batilisha uamuzi kabla hakujacha.
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji upooooo???? Mungu hamtupi mja wake umelia njaa sana ndugu yangu; mambo ya viwango hayo! kifaa Madame B kipo mtaani najua sana umezoea vya kunyonga vya kuchinga huviwezi akili itulize na ugumu acha kitu chataka matunzo mambo ya bodaboda hayawezi; kama umefulia nijulishe nikuwezeshe!!
 
chama njoo huku naona Madame B anawaza kumpindua Mamndenyi

haaaaaa game ya Mamndenyi sijaiona hivyo viwango sio mchezo!!! Madame B namuunganisha na Bujibuji mdhamini mwenyewe nikishirikiana na Mamndenyi lazima mtoto ale raha Ben Saanane anakimbia gharama hana lolote tangu lini muhogo ukawa chakula??? Anamlisha Madame B wa kuchemsha akiubadili anauita chips dume! Akimtoa out usafiri bodaboda; wakiingia Club kinywaji maji yametiwa limao; kama unavyojua Ben Saanane mtu wa hesabu!!
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji upooooo???? Mungu hamtupi mja wake umelia njaa sana ndugu yangu; mambo ya viwango hayo! kifaa Madame B kipo mtaani najua sana umezoea vya kunyonga vya kuchinga huviwezi akili itulize na ugumu acha kitu chataka matunzo mambo ya bodaboda hayawezi; kama umefulia nijulishe nikuwezeshe!!

Huyo Bujibuji hata bure simtaki.
Mwanaume gani anakunywa mpaka anasahau nyumba yake.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom