Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

haaaaaa game ya Mamndenyi sijaiona hivyo viwango sio mchezo!!! Madame B namuunganisha na Bujibuji mdhamini mwenyewe nikishirikiana na Mamndenyi lazima mtoto ale raha Ben Saanane anakimbia gharama hana lolote tangu lini muhogo ukawa chakula??? Anamlisha Madame B wa kuchemsha akiubadili anauita chips dume! Akimtoa out usafiri bodaboda; wakiingia Club kinywaji maji yametiwa limao; kama unavyojua Ben Saanane mtu wa hesabu!!

chama, niache nipumue na my sweet.
Kawalia nini!
Yaani nakwambia 2015 lazima mkalie upanga na Tutawaburuza mpaka mtujue sie M4C ni nani.
Muache Ben Saanane wangu atulie, mwanaume wa shoka, kifua Six pack.
 
Last edited by a moderator:
Ndoa zilizosainiwa na Baba V karibia zote ni mkosi mtupu;
Ndoa yangu mpya naisajili kwa Erickb52;

Nimekaa hapa nawasikiliza tu.. leo angalau ndo nimefumbua macho na angalau nakumbuka hata jina na jinsia yangu baada ya kunywa mfululizo tangu alipotangazwa raisi mpya wa TFF.. bili yao nimewaandikia cheque asubuhi hii dadadeki..
 
Last edited by a moderator:
Hello wana Chitchat!
Ninaomba mpokee taarifa ya mahusiano mapya kati ya Elizabeth Dominic na Ben Saanane kuanzia leo.
Nimeyafiki mapinduzi haya kwa kuwa Madame B anamiliki SACCOS ya wanaume wakati Elizabeth Dominic hana wa kumpetipet. Tabia hii ya SACCOS ya Madame B imekuwa ikimuumiza sana Ben Saanane na kumnyima usingizi akiwaza ni lini atapata mke wake peke yake...! Hivyo leo wameamua kuungana na huyu kimwana kuwa kitu kimoja ili awe ana bofya akijisikia na sio kupangishwa foleni kama yuko clinic!
Nawatakia maisha mema ya ndoa yao!

I remain
Erickb52
Mwenyekiti wa Mahusiano

Special Copy: Madame B

Cc Arushaone Bishanga Chocs Arabela Filipo The secretary Mamndenyi Kaizer DEMBA sosoliso Paloma amu Heaven on earth Lady doctor charminglady C6 Fixed Point SnowBall gfsonwin snowhite Dark City sweetlady Blaki Womani PakaJimmy Mungi LiverpoolFC nitonye Avemaria beibe nasty Preta watu8 ladyfurahia measkron @ stevoh YNNAH KOKUTONA Excellent Katavi kiwatengu shansarie Passion Lady Mtoto halali na hela Mentor TANMO Ruttashobolwa-Mr Rocky Dena Amsi Slave KakaKiiza Nivea mimi49 zubedayo_mchuzi mwallu Mrembo by Nature Mzee Kongosho Baba V Mzee wa Rula marejesho Nicas Mtei Asprin chama-

U nani wewe hadi uvunje ndoa hii???
 
Last edited by a moderator:
Eti ni kweli kuwa rais mpya ni Bishanga?
Nimekaa hapa nawasikiliza tu.. leo angalau ndo nimefumbua macho na angalau nakumbuka hata jina na jinsia yangu baada ya kunywa mfululizo tangu alipotangazwa raisi mpya wa TFF.. bili yao nimewaandikia cheque asubuhi hii dadadeki..
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa
Hivi kumbe unawaza kuwa festi ledi shosti.
chama miss u sana uko wapi lakini?
chama, niache nipumue na my sweet.
Kawalia nini!
Yaani nakwambia 2015 lazima mkalie upanga na Tutawaburuza mpaka mtujue sie M4C ni nani.
Muache Ben Saanane wangu atulie, mwanaume wa shoka, kifua Six pack.
 
Last edited by a moderator:
Vin Diesel anataka nyama laini laini achana naye.
Wakwangu atatangaza ndoa hapa, kikwetu wanawake
ni mwiko kupeleka tangazo la ndoa.

Hahahahaaa
Kwangu pamejaa neema full...kama unamtaka Vin Diesel sema tu nikukabidhi maana nayeye ni screpa km wewe
 
Last edited by a moderator:
Baba V katika iyo bili naona walisahau chupa nzima ya grants nilijibebea mwenyewe ndo mafufuka apa njoo tuzimue

Kichuna wangu DEMBA asante kunipeti peti maana hangover balaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom