Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Nina ubavu wa kumpindua mtu mie? Akhaa
Hayo nawaachia wengine tu ndugu yangu. . . wanaoyaweza!

Alafu dah. . . hahahah yale ya jana tuyaache kama yalivyo aisee!! Unajua kuna settings huwa zinanizingua nataka niziharibu kabisa nianze upya.....manake kuna kila dalili ya kuaibika mchana kweupeee! LOL

Hahahahaaa yan bora uanze upya maana la jana ni JANGA haswaaaaaa lol
Mbafu sangu sinauma kwa kicheko aisee lol
 
Hahaha!!!

Mambo ya Tanga ni hatari tupu, kila siku nguo zaloweshwa maji hakuna mtu kutoka ndani.

Teh teh ila km huna haraka mbona poa tu aloweke hadi viatu hahahahaaaa
Ila km ndo unatakiwa ukamwendeshe Boss halafu unasubiriwa na nguo zishalowekwa lazma ujiharishie aisee hahaaaa
 
Love u mno kipenzi changu



naskia kuna vuguvugu la mapinduzi!
Cc Avemaria
Hakuna kama wewe mpenzi wangu!
Huyo Avemaria anakutisha tu sina mpango wa kuhamia airtel
Nakupenda kuliko kitu chochote (Unalijua hilo)
 
Last edited by a moderator:
Kumbe na kupinduana yamo?. Habari yako vivian. mia
 
Last edited by a moderator:
Endeleza mchakato,nipo nyuma yako dia
Hakuna kama wewe mpenzi wangu!
Huyo Avemaria anakutisha tu sina mpango wa kuhamia airtel
Nakupenda kuliko kitu chochote (Unalijua hilo)
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa yan bora uanze upya maana la jana ni JANGA haswaaaaaa lol
Mbafu sangu sinauma kwa kicheko aisee lol

Hahahah kwanza mi nilikuwa nasubiria dongo tu ila bahati nzuri nawe ukawa kiutu uzima zaidi. Lol

Honestly. . . . nafanya mpango kabisa loh mi mwenyewe huwa inaniboa kweli. Alafu hilo la jana mbona dogo? kuna moja nililibugi bana. . .weee sitaki hata kukumbuka joor!!
 
Back
Top Bottom