Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha.miaaaaaaaaaaaaaaaanakutania besti......na figganigga nimwachie nani
...ko uko tayari kutoka na shemeji yako
Passion Lady wizi upo....ila huwa inauma sana mwizi akiibiwa hahaaaaa
ila mwenyekiti ujue huo ni wizi
wa waume za watu tena kimachomacho
mi mtu akimgusa loya ujue ni kesi ya kummwagia
mtu kile kimiminika kinachobabua na kuharibu reception!!
...kwani unataka mwende wapi?Unataka kumpa ofa atoke na mimi?
tatizo ye hua anaibiwa moja kwa moja
yani wanachukua jumla!!maskini shoga angu mie!!
Mwachie Madame B
Ndio! Hapendi!
Kuzua ya kuzua kama ulivomzulia shogaangu Madame B wakati wenyewe wanashona wanadarizi ma mapenzi yao yanayeya!
Hapendi!!!
Hapendi upishi wako wewe Erickb52 wa kuyapika, kuyapakua na kuyamwaga kwenye sredi mambo ya mapenzi ya watu!!! Inahuuuuuu!!!
Hapendi kabisa!!!
Sasa mkodombwe unakuhusu!!! hii ni kama trailer tu!!! Bishanga apumzike sasa, umbebee mikoba yake ya kusutwa!!!
Chocs shosti utatuwia radhi kwa mumeo kusutwa lazima asutwe! Tena kwa kigoma cha kidumbaki!!! Kama unamuonea huruma sana mtie kamba, aingie adaab! aufyate!!!
siko tayari kutoka na yeyote
...wito wangu sio huo....