Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

unajikoshatu hapa ili mkeo akuone ni muaminifu kumbe hakuna kitu. Kutwa kutongoza wanawake humu

Nani tena kakutongoza DEMBA wangu humu jamani?Nikimjua huyo mwanamme namuwekea vikwazo vya ku chat hapa!
DEMBA I miss u badly bana!
 
Last edited by a moderator:
Kwani kuna ugomvi...
Ndio! Hapendi!

Kuzua ya kuzua kama ulivomzulia shogaangu Madame B wakati wenyewe wanashona wanadarizi ma mapenzi yao yanayeya!

Hapendi!!!
Hapendi upishi wako wewe Erickb52 wa kuyapika, kuyapakua na kuyamwaga kwenye sredi mambo ya mapenzi ya watu!!! Inahuuuuuu!!!

Hapendi kabisa!!!

Sasa mkodombwe unakuhusu!!! hii ni kama trailer tu!!! Bishanga apumzike sasa, umbebee mikoba yake ya kusutwa!!!
Chocs shosti utatuwia radhi kwa mumeo kusutwa lazima asutwe! Tena kwa kigoma cha kidumbaki!!! Kama unamuonea huruma sana mtie kamba, aingie adaab! aufyate!!!
 
Back
Top Bottom