ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Mie nipo tu siku zasonga.....
kipenzi changu.....
kuna kitu gani kinachoendelea hapa
mbona siwaelewi wewe na kaka yangu Erickb52?
pls niambie nijue mnaniweka njia panda mjue
Nahisi moyo unataka kukudondokea mwallu
kaka unatafuta balaaa hapa hujui kuwa M ............ akijua shauriro
nitakuja kuweka sahihi juu ya kaburi lalko mie
Hahahahaaa
Hutaki makombo eeh
halafu wewe kila ukipita nyuma yangu nakuwa mduchuu hasa nikifikiria haya mapinduzi yako... Nakumbuka usemi usemao mwenzio akinyolea, zako tia maji
cc: Arushaone
Naona nyendo zako....ila je Mamndenyi anajua?
ladyfurahia hebu malizia basi
maana naona kahabari kapya
Naongea na shem Vin Diesel
Hivi ushamleta home?
that's ma man!!
why kwanini????????
Muulize huyo Erickb52 vizuri....atakuambia yooote
Sawa..ila kwa huyu lazma uwe makini sana coz utapata presure kwa kufumania kila mara