Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Hahahahaaaa
Usifukie maovu kupitia uongozi wangu....wewe umemsaliti Kaizer na ukiendelea kuleta maneno yako naivuna ndoa yako kwa msimamo wa mahusiano yako na yule jamaa
Nakuomba unitue na uenyekiti wangu...hunijui eeeh shauri yako...!

Cc Kaizer Arushaone

usileteee matishio ya nyau hapa. acha kung'ang'ania madaraka, utaenda kuishi uhamishoni kule jokes. shaulilo.
 
Hivi jimboni mnafundishwa ugomvi?
Nina wasiwasi km we ni mtawa....nahisi unajiita mtawa kwa kuwa hujapata wa kutumia rasilimali zako za central hahahaaaa
Kuanzia leo sitambui utawa wako

Cc DEMBA Arushaone

ushamtamani mwallu wa watu hivyo. maumivu ya ......... yanaanzaga polepole.
 
Last edited by a moderator:
tunafundishwa uadilifu..na mtu akikosa uadilifu tunapaswa kumuambia,,akiomba msamaha kama maandiko yanenavyo tunasamehe..
Hivi jimboni mnafundishwa ugomvi?
Nina wasiwasi km we ni mtawa....nahisi unajiita mtawa kwa kuwa hujapata wa kutumia rasilimali zako za central hahahaaaa
Kuanzia leo sitambui utawa wako

Cc DEMBA Arushaone
 
Last edited by a moderator:

usijali honey nipo nae karibu
ila c unajua x wako ana wengi?
amebakiwa na saba au nane kwny saccos yake!!
 
Back
Top Bottom