Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamisa maji thread ya Lulu anaezungumzwa hamisa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]....!!!llohhh
Irene naye yumo kwenye wivu yeye si ana mme tayari na alishawahi funga ndoa ngoja na wenzie waonje maisha
Sahivi hadi naongea kikenya ha ha ha haaaaaa
Okay aendelee kutafuta ndoa kwa waganga ha ha ha
Dina huyu huyu....!!!kumbeee!!!ndo maana!Write your reply...Dina anajionaga anajua kila kitu hapendagi kukosolewa kabisaa. na ukimzidi kidogo tu kosa yaani yeye awe juu siku zote ndiyo mtaelewana.
Hee...kumbe umdhaniae ndiye kumbe siyee!!!also ni muongeaji mjuaji sana, kuna siku nlimkuta pale anapopika nlishangaa jinsi anavyowasaula wenzie lol!
Ndo huyu huyu..kaamua kujiongeza Lulu bwana akipataga bwana wa maana anatulia Sana...hata alivyokua na seki alituliaa!!!Hivi huyu ndiye lulu yule yule wa kipindi kile au huyu ni old model?
Tatzo naona kama mnyumbuliko wa sura umebadrikaNdo huyu huyu..kaamua kujiongeza Lulu bwana akipataga bwana wa maana anatulia Sana...hata alivyokua na seki alituliaa!!!
yaani nlibaki nashangaa tu,nlikua namuona wa tofauti sana,nikabaki najiwazia ndo maana walikorofishana na zama maana wote wajuaji walikutana [emoji1]Hee...kumbe umdhaniae ndiye kumbe siyee!!!
Achana na utimu bwana!!!haijalishi kafanyaje au kafanyaje!!kati yake na Zari hakuna aliyeolewa hata mmoja...so kumsema hamisa ni chuki!!!Kwa umalaya wake , alivyokua anajishaua anatoka na diamond wakat diamond alikua na zari si Alitaka kuongelewa , ndo tunamuongelea sasa , boss wenu anatia huruma jamani, huku diamond hamtaki, kadhalilishwa uchawi, anahaha kodi ya nyumba hataki kuhama ghorofa kisa atachekwa🤣🤣🤣, boss wenu yamemkuta, kutaka kujifanya zari wakati hana mbele wala nyuma , wanaume wote wamemkimbia
Ishu ndoa bwanaa!!ingekua pesa shilole asingeoa,au fey tanzaniaTatizo sio mume tu , tatizo mume mwenye pesa 🤣🤣🤣, Sasa dogo janja pale kaoa au kaolewa , irene yuko zake zenji sasa hvi anadanga , dogo janja analea mtoto , Leo mastaa watalia na kusaga meno🤣
We nawe una yako na Hamisa nshakuzoea wewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ukimchukia mtu...unakua na shida sana...!!!Ila binamu acha utani , misa lazima achanganyikiwe, yupo kwenye hali ngumu sana , mi Toka nisikilize ile voice note akilalamika diamond hampost ila akiwa na wanawake wengine anawapost, na kuwa a naona aibu kodi imeisha akihama ghorofani atachekwa, yani kumbe anaishi maisha ya kuigiza , na alivyokua anajishaua amezaa na matajiri wakat hata kodi ya mil 2 inamshinda
Ila wanawake ndo mjifunze somo , what goes around comes around , alijisifia kuwaachanisha zari na domo , yeye ndo kadhalilishwa mpaka na uchawi , mwanamme kadate na wewe miaka kumi hata kukupost bahati mbaya au kusema kuwa unadate nae anaona aiibu , misa inabidi tu aokoke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi Shida za hamisa,Wema au penny zitafanana na za kwetu!!Ila nikisikiliza ile voice note mpaka namuona huruma , shida zimemjaa hamisa , halafu akija insta utasema hana tatizo hata moja , dah maisha haya , inabidi tu ajipange upya , bado mdogo , maisha ni Kuishi na kujifunza
Duuhh!!hiii Kali hii...namuonaga muungwana,mstaarabu bonge la Dada....kumbe nae ndo wale wale!!hamu sina hapa!!!yaani nlibaki nashangaa tu,nlikua namuona wa tofauti sana,nikabaki najiwazia ndo maana walikorofishana na zama maana wote wajuaji walikutana [emoji1]
Amenenepa sasa hiviTatzo naona kama mnyumbuliko wa sura umebadrika
Achana na utimu bwana!!!haijalishi kafanyaje au kafanyaje!!kati yake na Zari hakuna aliyeolewa hata mmoja...so kumsema hamisa ni chuki!!!
Tujifunze kua na nyoyo za kurudi nyuma binamu...ukimchukia mtu yaani unakua na hasadi Sanaa...
Hapa anazungumziwa Lulu..hamisa alishaachana na majizooo mpk kuzaa na diamond Leo akiumia si atakua kichaa...!!!
Hakuna mwanaume wa kwako peke yako,labda umbumbe wako!
Daimond sio mtoto na hakua kaoa... So mnaosemasema nawaona kama vile mnatetea Zinaaa tuuu!!!
Vitu vingine sijui haoni aibu kuongeaIla binamu acha utani , misa lazima achanganyikiwe, yupo kwenye hali ngumu sana , mi Toka nisikilize ile voice note akilalamika diamond hampost ila akiwa na wanawake wengine anawapost, na kuwa a naona aibu kodi imeisha akihama ghorofani atachekwa, yani kumbe anaishi maisha ya kuigiza , na alivyokua anajishaua amezaa na matajiri wakat hata kodi ya mil 2 inamshinda
Ila wanawake ndo mjifunze somo , what goes around comes around , alijisifia kuwaachanisha zari na domo , yeye ndo kadhalilishwa mpaka na uchawi , mwanamme kadate na wewe miaka kumi hata kukupost bahati mbaya au kusema kuwa unadate nae anaona aiibu , misa inabidi tu aokoke