we umeolewa tayar au unadanga tu huko njeDear , Mimi siishi Tanzania , Nina elimu nzuri tu na maisha mazuri🤣🤣, labda hamisa alichonizidi ni umaarufu tu Ila maisha , bado anakongoja binamu
Usibabaike na wasanii ukawaona insta wanashine ukajua they have made it , wengi maskini na elimu hawana🤣🤣🤣
Msanii kuoa au kuolewa mara nyingi uathiri 'career' yake na mapato yanaweza kushuka;ndio maana ukiangalia wengi hawaoi wala hawaolewi.
Hahaaa!!watu jf utawawezaa!!warumi kaona bora amalizie hasira zake hapa!!
Yeye mwenyewe ukute hata mume hanaaa!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
nimecheka sanaHuu mwaka magumu sana kwa hamisa , Mungu amtie nguvu
Best unaionaje couple hiyo?Majizo kapost video kwenye ukurasa wake wa instagram ikumuonesha akimvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi, Elizabeth Michael aka Lulu.
Hongera zao, naona harusi inanukia.
View attachment 882883
View attachment 882799
Wapendanao
rudi kwa jiwe kumenoga halafu uje pm nikuhongeNadanga 🤣🤣🤣🤣
Stupidity kwa kweli hata mm ninsinge kubali mume wangu anipigie magotiMwanaume mzima na korodani ka kifirushi cha korosho eti unakwenda kumpigia magoti mwanamke unayetaka kumuoa! Hizi tamaduni nyingine hazitufai sisi! Dume zima unakwenda kumpigia magoti mwanamke uliyemtolea mahari! Swine kabisa. ..
nimecheka sana
kwani hana mume yule??Mwenzenu natamani dina marios aolewe ujue basi tu!!
aah! hadi huruma...Kwa umalaya wake , alivyokua anajishaua anatoka na diamond wakat diamond alikua na zari si Alitaka kuongelewa , ndo tunamuongelea sasa , boss wenu anatia huruma jamani, huku diamond hamtaki, kadhalilishwa uchawi, anahaha kodi ya nyumba hataki kuhama ghorofa kisa atachekwa🤣🤣🤣, boss wenu yamemkuta, kutaka kujifanya zari wakati hana mbele wala nyuma , wanaume wote wamemkimbia