isaya mgwasi
Member
- Jun 1, 2015
- 46
- 36
anatimiza ilani ya RC makonda,Majizo kapost video kwenye ukurasa wake wa instagram ikumuonesha akimvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi, Elizabeth Michael aka Lulu.
Hongera zao, naona harusi inanukia.
View attachment 882883
View attachment 882799
Wapendanao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani wewe, hongera zake sana!!Hongera lulu, pole hamisa teh
Apambane na le mganga hadi Mr right akujeBahati kitu muhimu sana atiii [emoji1][emoji1][emoji1] aendelee kulialia tu
Kipindi hiki apeleke Ngamia [emoji23]Apambane na le mganga hadi Mr right akuje
Atulie kabisa awe mke na mama bora, adumu kwenye ndoa yake milele na milele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani wewe, hongera zake sana!!
Nimefurahi sana, kapitia changamoto nyingi sana katika umri mdogo huyu binti acha sasa atulie
Bongo movie kazini.Ila Lulu usanii anauweza hasa anajiliza nini wakati sherehe aliandaa mwenyewe na pete aliyovalishwa walienda kuchagua wenyewe. Afu anafanya kama alishitukizwa?
Akipeleka ngamia mara paaap Bill anapropose #tutakomaKipindi hiki apeleke Ngamia [emoji23]
Hamisa kafanyaje sasa!![emoji2] [emoji2] [emoji2] !!!kweli hamisa maji!!Hongera lulu, pole hamisa teh
Muda wake umefika wamewaacha makurumbembe wa mjini waendelee kudangaa!majizo kamtuliza sana Lulu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani wewe, hongera zake sana!!
Nimefurahi sana, kapitia changamoto nyingi sana katika umri mdogo huyu binti acha sasa atulie
Huyu ndio Madam Hero sasa mwenye Hero zake [emoji23][emoji23][emoji23]
Pole wewe unajua mpaka mama ako anakuzaa kashapigwa mkuyenge na watu wangapi?? Na sasa katulia au kwakua Huyo binti ni maarufu?Huyo ni mdangaji tu ashazoea kupigwa mkuyenge na walimwengu...HAWEZI TULIA NDANI YA NDOA NA KUWA MKE MWEMA.
PERIOD
Amiin!hili ndo la kumuombea akatulieAtulie kabisa awe mke na mama bora, adumu kwenye ndoa yake milele na milele
Huwezi jua anaweza akatulia!Huyo ni mdangaji tu ashazoea kupigwa mkuyenge na walimwengu...HAWEZI TULIA NDANI YA NDOA NA KUWA MKE MWEMA.
PERIOD
Hahahaaaaa tumuache apambane na jina lake madam hero!!Usimpe gudu la pugi bana. Huyu haifai kupewa majina used. Tayari ana pigania kufuta jina la mjela jela orijino kuwa mrs.