Hongereni,
Naona kaoa mwanae!!
Juzi nilikunywa pombe sasa kurudi home wife kalianzisha timbwili timbwili, nikataka kuzabua vibao japo viwili ghafla ikanijia Kifo cha kanumba aaaaah nikaghairi pale pale nikaenda chumba cha mtoto nikaangusha zangu hadi asubuhi.
Wanawake wanaongoza kusababisha vifo vya wenza wao kwa asilimia kubwa sana, halafu bila aibu anaolewa na mwanaume mwingine ptuuu.
ruru[emoji777]
Lulu[emoji818]
umichungulia ukaiona fupi
eheheh kwani ulikua unatafuta nini mkuu
Muda wake umefika wamewaacha makurumbembe wa mjini waendelee kudangaa!majizo kamtuliza sana Lulu
Bongo muvi wengi huko waliko wanalia Leo!
Kwani mkuu kalia kwa surprise au kwa furaha naomba jibu.Mwanaume niwe na wivu eti lulu kaolewa..
Kuwa serious kidogo..
Ninachoongelea ni maigizo ya kulia wakati kila kitu kilikua planned inawezekana yeye mwenyewe ndio aliplan sherehe kabisa
Hongereni,
Naona kaoa mwanae!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah aiseeee umekunywa chai gani leo kakaKanumba liked your post..
Labda ilikua fantansy mkuu...ni kama wewe unavyompigia nyeto SELENA GOMEZ!Huyu lulu sialisema yeye hataki mtu mwingine amuoe zaidi ya yule mmarekani mwimba miziki sijui wanamuita jastini beiba
Amahakika jela imemfunza kuwa hata hapa bongo waoaji wapo
Si Yupo locationSasa analia why
Kwanini asicheke? Au kisa zote ni kelele kulia na kucheka?Ànalia mengi unajua kuna furaha na uchungu huja unashindwa jizuia akifikiria yule mwanaume kamvumilia mangapi ,kamfanyia vitu vingapii mpaka leo anahalalisha kwa aliyopitia lulu yupo sawa kulia
Kulia kwa furahaaKwanini asicheke? Au kisa zote ni kelele kulia na kucheka?
Kulia kwa Furaha Bongo?Kulia kwa furahaa
Mwanaume niwe na wivu eti lulu kaolewa..
Kuwa serious kidogo..
Ninachoongelea ni maigizo ya kulia wakati kila kitu kilikua planned inawezekana yeye mwenyewe ndio aliplan sherehe kabisa