Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
😀😀😀😀😀 Wewe jamaa umenifanya nicheke bila kupenda aisee!...Nilipokua kijijini uko kabla sijaja daslaam nilikua ninandoto za kuja kumwoa huyu dada ila hili limajizzo limekatisha ndoto zangu daaaah
Uwoya alishaolewa Mara mbili ya kiislamu na kikristoo!!!Wengine wale pale ndo kazi wanayo!!!hakuna kitu kibaya kama hichoo...!!Wanalia kwa uchungu sana , Jana ilikua siku mbaya kwa mastaa kama hamisa , wema , irene uwoya , wolper , yani wivu umewajaa kama nawaona
Hahaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!polenituliokuwa hatulali au kula mpaka tuambiwe mchumba wako ni huyo hapo watoto show ya itv tukutane nchini ya mkorosho tutetee
Kulia lazima ile ni furaha na ni ndoto ya wanawake karibu woteÀnalia mengi unajua kuna furaha na uchungu huja unashindwa jizuia akifikiria yule mwanaume kamvumilia mangapi ,kamfanyia vitu vingapii mpaka leo anahalalisha kwa aliyopitia lulu yupo sawa kulia
ahsantee sana nimepokea taarifa kiroho upande sanaaHahaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!poleni
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ahsantee sana nimepokea taarifa jiroho upande sanaa
Azeeke mara ngapi???Yaani Wema sijui alishindwa nini jamani kupata mume na yeye...dalili zinaonekana atazeeka bila mume.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda na yeye akienda jela nyota yake itang'aa
Ila Lulu usanii anauweza hasa anajiliza nini wakati sherehe aliandaa mwenyewe na pete aliyovalishwa walienda kuchagua wenyewe. Afu anafanya kama alishitukizwa?
Hee! Kumbe ndo maana majizo yuko simple sana ujue!!!Hahaha jamani sherehe ilikua ya wadogo zake. Hiyo engagement imekuja kama Suprise
Hamisa kafanyaje sasa!![emoji2] [emoji2] [emoji2] !!!kweli hamisa maji!!
Umemsahau seki/ seth yule wa madiniRIP Kapt. John Komba, RIP Stephano Kanumba
Kama imekuuma chomoa.we kyuma hii thread inahusu mama au Elizabeth Michael 'lulu' ? Fungua thread titled 'mama yake worldboss ' then ongea huo ungese wako wote
NkUNDU wa bibi ako
Kama imekuuma chomoa.we kyuma hii thread inahusu mama au Elizabeth Michael 'lulu' ? Fungua thread titled 'mama yake worldboss ' then ongea huo ungese wako wote
NkUNDU wa bibi ako
mmmmmh! ahsante kunikumbusha Evelyn SaltUmemsahau seki/ seth yule wa madini
Demu/Mke/Mchumba wako ni demu wa zamani wa mchizi flani!.Wenzake wamechezeaaaa weeee kazeeka saizi yeye anaona kaokota dofo.
Anyways maisha hayana formula
Bado ana 28 yrs msimzeeshe mtoto Wa mwenzenuAzeeke mara ngapi???