Elizabeth Michael (Lulu) afunguka haya juu ya kesi yake

Elizabeth Michael (Lulu) afunguka haya juu ya kesi yake

20589849_160943114475922_2222556347734425600_n.jpg


Katoto kazuri utafikiri hakanyi.
Chezea skin foundation wewe. Saloon treatments hizo. Kutana naye asubuhi kabla ya kuoga utarudi hapa kufuta comment yako.
 
Hatari....naye anafuatiliwa na ile roho ya umauti japo anaona ni kawaida. Hatari sana...maana hata biblia imenena kwamba auaye kwa upanga atakufa kwa upanga...haijaongelea habari ya kama ikitokea ameua kwa kutokukusudia!!!
 
msameheni mtoto wa watu jamani..hope mpaka sasa amejifunza kwa makosa yake..
muhurumienii
 
Kanumba alikuwa hatari kwa jamii, maana kaanza kukitafuna kilulu tangu kikiwa kitoto. Who knows, labda angekuwepo mpaka leo angemuona Lulu mzee angekuwa anatafuna vitoto vingine visivyokuwa na matiti. Yule jamaa alikuwa Paedophile.
Halafu alikua anajifanya mstaarabu hata pombe hagusi kumbe mnywaji hadi pombe kali, apumzike salama...nisiwe judge.
 
Back
Top Bottom