Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
mmetembelewa nanyi pia...mtafukuza au?Huyu jamaa emewahi mtongoza Kadoda nakusema he loves Tanzanian men
Kadoda uko wapi utupatie hiyo evidence
Jay nae kumbe anatatuliwa😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmetembelewa nanyi pia...mtafukuza au?Huyu jamaa emewahi mtongoza Kadoda nakusema he loves Tanzanian men
Kadoda uko wapi utupatie hiyo evidence
Jay nae kumbe anatatuliwa😀😀
Melissa baby girl.... whassup!Huyu jamaa alimtongoza Kadoda humu JF
Two wrongs don't make a right!yaani watu wanasifia kuwachinja albino kama kuku ila wanazungumza hivi...duh! dunia imepasuka mahali....igawa sikubaliani kabisa and I mean i SIKUBALIANI KABISA in capital letters na tabia ya usagaji, nashangazwa sana na matamshi ya jamaa flani hapa...albino wametoroka nchi wote...hii roho ya kichawi ilianzia wapi
tujifunze kuheshimiana licha ya tofauti zetu....mbona wazungu wakitutusi kima kwa sababu ya rangi yetu nyeusi tunalalamika ila tunawabagua kina ellen...jambo muhimu ni watu kutojali kinachoendelea usiku chumbani mwa ellen...hio haituhusu sisi kamwe...Two wrongs don't make a right!
tujifunze kuheshimiana licha ya tofauti zetu....mbona wazungu wakitutusi kima kwa sababu ya rangi yetu nyeusi tunalalamika ila tunawabagua kina ellen...jambo muhimu ni watu kutojali kinachoendelea usiku chumbani mwa ellen...hio haituhusu sisi kamwe...
haya endelea kuwabagua wenzako bas..its ur choiceI totally agree with your last argument.
Ila unapoanza kuargue kwa kusema "mbona" there is no way nitakubaliana nawe.
Sina uhakika kama umenielewa lakini...haya endelea kuwabagua wenzako bas..its ur choice