Jafari Haruna
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 347
- 961
Imebidi NichekeMgao wa umeme umeanza baada ya sa100 kuingia madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imebidi NichekeMgao wa umeme umeanza baada ya sa100 kuingia madarakani.
hapana hizi zote ni bom zilio tegenezwa kipindi kuanzia cha Mkapa, JK magufuli zinakuja kulipuka kwasasa, kwasbb mipango ya kua na umeme costant haifanywi dani ya miaka 3 au 2 kama ya Raisi samia, yeye amekua muazi na kuweka hali yote hadharani sio jpm aliofisha uozo wa tanesco
Hivi kwanini waislamu wengi wanashabikia Urusi?
Hivi Elon musk alikuwa mfadhili wa Ukraine? Au anafanya biashara na ukraine
Kumbe alikuwa sio mfadhili ni mtoa ofa? Ebu tuone hiyo offer, tangu mda Elon element zake zinaonyesha ni pro Russia na china na naamini hivo kwa ajili ya biashara zakeAlijtoa ofa kubwa mwanzoni kabla kufikiria biashara.
Shika adabu yako we mtu we😆😆😆🤣🤣🤣Hata sa100 yuko Doha anaomba omba.
Amemchapa wap acheni ujingaaNdo hainui Mikono Sasa, anaendelea kumchapa mvamizi kavukavu yeye peke yake.
Mvamizi mwaka wa pili kamasi zinamtoka huko
Walioshindwa kumanage hilo shirika la umeme na mengine kibao ya umma ni watu gani?Tofautusha omba omba na uwekezaji, investors mama amaenda kutafuta investors walete pesa zao hapa Tz tupate ajira na maendeleo, nyie wazawa mmeshindwa kila kitu, shirika la umeme tu limewashinda kumanage kabisa.........bora tuletewe hao wawekeze
JPM alificha uozo na umeme ulikuwepo. Huyu anaweka wazi na umeme haupo! Yupi bora hapo?hapana hizi zote ni bom zilio tegenezwa kipindi kuanzia cha Mkapa, JK magufuli zinakuja kulipuka kwasasa, kwasbb mipango ya kua na umeme costant haifanywi dani ya miaka 3 au 2 kama ya Raisi samia, yeye amekua muazi na kuweka hali yote hadharani sio jpm aliofisha uozo wa tanesco
Wanahisi wanamkomoa Mmarekani ambaye kwa imani yao wanamuona kama ni Mpinga uislam (Mkristo) lakini cha kushangaza Waislam wote duniani ndoto zao ni kuishi Marekani na si Russia!Hivi kwanini waislamu wengi wanashabikia Urusi?
Huyo Zelensky hajielewi hayo mataifa yalikuwa yanapunguza stock ya silaha zao za zinazokaribia kuexpire. Na hata wakiwapa silaha Ukraine hawawapi Bure wanawapa kwa mkopo. Kwa hio Ukraine ikishinda vita inabidi walipe deni. Lakini pia kama Urusi ikishinda vita itafunguliwa kesi na wataambiwa walipe faini kwa sababu wamesababisha raia wa Ukraine wawe wakimbizi. Hivyo ku affect uchumi wa nchi hizo kubwa. Kwa hio hii ni win win kwa mataifa makubwa.Katika hali inayoonesha mambo kuzidi kumgeukia Rais Zelensky wa Ukraine, tajiri mkubwa wa mawasiliano na aliyekuwa mfadhili mkubwa wa Ukraine Ellon Musk amemdhihaki kiongozi huyo kwa kumuonesha kama mtu ombaomba aliyepitiliza viwango.
Katika picha aliyoitengeneza na kuiweka kwenye akaunti yake, Ellon Musk amemchora Zelensky akiwa darasani na mwenye wasiwasi wa kama mwanafunzi anayetaka kuuliza swali.
Pembeni mwa picha hiyo Musk akamuuliza Zelensky imekuwaje zimepita dakika 5 na hajaomba dola bilioni.
Picha hiyo inayoitwa meme imewakasirisha sana wabunge wa Ukraine ambao wameanza kumjibu Ellon Musk na wao kujaribu kuchora vikatuni vyake.
Ukraine Hits Back at Elon Musk Over Meme Taunting Zelensky
View attachment 2771251
Mkasa huu unamkuta Zelensky ikiwa ni siku chache tu bunge la Marekani kusitisha misaada zaidi kwa Ukraine maamuzi ambayo yamesababisha mvurugano kwenye bunge hilo mpaka kuondolewa kwa Spika wake Kevin McCarthy kwa kura maamuzi ambayo hayajawahi kufanyika katika historia ya Marekani.
Hilo pia linakuja wakati Uiengereza imetangaza haina tena silaha za kuipatia Ukraine na kama yuko mwengine anayeweza kuisaidia achukue nafasi yake.
Sambamba na hayo kuna vuguvugu kubwa Poland aliyekuwa rafiki mkubwa na muungaji mkono wa vita ambapo ajenda za uhusiano na Ukraine zikishika nguvu kuelekea uchaguzi wa Oktoba 15 ijayo.
Vyama vinavyopinga vita na kuisaidia Ukraine vimeonekana kupata uungwaji mkono mkubwa miongoni mwa wapiga kura,
Acha utoto Zina mtoka kivip mikoa aliyoo takaa si kachukua Kuna watu wajinga usikute na wew una itwaa baba furan,,semaa vi ni ngumu kwa Sababu ameongezewaa maadui ila sio kashindwa alicho kitaka kachukua.Mvamizi mwaka wa pili kamasi zinamtoka huko
Acha umama, anajitangaza kuchukua maeneo baadae anayakimbia kwa mtiti wa Zelensky, Kuna watu ni wajinga usikute na wewe unaitwa mama Fulani!, Ule msafara ulikuwa unafuata nini Kiev? Ulifika au bado uko njiani unajitafuta.Acha utoto Zina mtoka kivip mikoa aliyoo takaa si kachukua Kuna watu wajinga usikute na wew una itwaa baba furan,,semaa vi ni ngumu kwa Sababu ameongezewaa maadui ila sio kashindwa alicho kitaka kachukua.
Sent from my itel S663L using JamiiForums mobile app
Ukraine mdomo ndio mwingi kuliko vitendo.Walisema karibu watafika bahari ya Azov baada ya kuteka kijiji cha Robotyne.Sasa imeshajulikana kuwa Urusi kuwaachia eneo hilo ilikuwa ili wajijaze halafu waangamizwe wote.Acha umama, anajitangaza kuchukua maeneo baadae anayakimbia kwa mtiti wa Zelensky, Kuna watu ni wajinga usikute na wewe unaitwa mama Fulani!, Ule msafara ulikuwa unafuata nini Kiev? Ulifika au bado uko njiani unajitafuta.
Na leo atakuwa India mkuuHata sa100 yuko Doha anaomba omba.
Kwa kuwa walikubali kuburuzwa na mpuuzi beberu Amerika,acha walinywe,kwa kuwa waliodanganyika kulikoroga😂.Katika hali inayoonesha mambo kuzidi kumgeukia Rais Zelensky wa Ukraine, tajiri mkubwa wa mawasiliano na aliyekuwa mfadhili mkubwa wa Ukraine Ellon Musk amemdhihaki kiongozi huyo kwa kumuonesha kama mtu ombaomba aliyepitiliza viwango.
Katika picha aliyoitengeneza na kuiweka kwenye akaunti yake, Ellon Musk amemchora Zelensky akiwa darasani na mwenye wasiwasi wa kama mwanafunzi anayetaka kuuliza swali.
Pembeni mwa picha hiyo Musk akamuuliza Zelensky imekuwaje zimepita dakika 5 na hajaomba dola bilioni.
Picha hiyo inayoitwa meme imewakasirisha sana wabunge wa Ukraine ambao wameanza kumjibu Ellon Musk na wao kujaribu kuchora vikatuni vyake.
Ukraine Hits Back at Elon Musk Over Meme Taunting Zelensky
View attachment 2771251
Mkasa huu unamkuta Zelensky ikiwa ni siku chache tu bunge la Marekani kusitisha misaada zaidi kwa Ukraine maamuzi ambayo yamesababisha mvurugano kwenye bunge hilo mpaka kuondolewa kwa Spika wake Kevin McCarthy kwa kura maamuzi ambayo hayajawahi kufanyika katika historia ya Marekani.
Hilo pia linakuja wakati Uiengereza imetangaza haina tena silaha za kuipatia Ukraine na kama yuko mwengine anayeweza kuisaidia achukue nafasi yake.
Sambamba na hayo kuna vuguvugu kubwa Poland aliyekuwa rafiki mkubwa na muungaji mkono wa vita ambapo ajenda za uhusiano na Ukraine zikishika nguvu kuelekea uchaguzi wa Oktoba 15 ijayo.
Vyama vinavyopinga vita na kuisaidia Ukraine vimeonekana kupata uungwaji mkono mkubwa miongoni mwa wapiga kura,