Msafara wa vifaru kuelekea Kiev umefikia wapi mkuu?Ukraine mdomo ndio mwingi kuliko vitendo.Walisema karibu watafika bahari ya Azov baada ya kuteka kijiji cha Robotyne.Sasa imeshajulikana kuwa Urusi kuwaachia eneo hilo ilikuwa ili wajijaze halafu waangamizwe wote.
Ukweli Ukraine imeishiwa na askari,silaha na misaada.
[emoji23][emoji23][emoji23]hapana hizi zote ni bom zilio tegenezwa kipindi kuanzia cha Mkapa, JK magufuli zinakuja kulipuka kwasasa, kwasbb mipango ya kua na umeme costant haifanywi dani ya miaka 3 au 2 kama ya Raisi samia, yeye amekua muazi na kuweka hali yote hadharani sio jpm aliofisha uozo wa tanesco
Mvamizi anaendelea kutolewa kamasi, kwa atakayemsaidia Ukraine itakuwaje vile?! ππNa ile safari ya kukatisha Robotyne kuelekea bahari ya Azov nayo imeishia wapi.
π³π³π³π³π³π³NILICHEKI ARTICLE MOJA YOUTUBE MUAMIR GADAFFI WAS MORE WEALTH THAN BILL GATES SASA ELON MUSK KIJANA MDOGO ANAWEZA KU MAINTAIN KIJANA TAJIRI ANAYEWEZA KU MAINTAIN KIDUNIA NI MARC ZUCKERBERG TU ELON MUSK MWEMBWE NYINGI TU
Sijui kama walishakumbuka kumpiga akili yule mzeeπ€Tatizo limeanzia na seriksli tawala ya Biden ambayo inamsakama sana Elon, na X (Twitter) nae Elon hapoi amesmua kuanika uozo wa serikali ikiwemo kutotilia maanani tatizo la uhamiaji haramu huku mabilioni ya Dola yakienda Ukraine ambapo hata haijulikani aim ya hiyo vita ni nini π