ELON AKIWA ANAONGEA LAZIMA AJISAHAU AONESHE FREEMASON SATANIC SYMBOLS

Ila maskini tunaongoza kwa kuwafokea matajiri..!!
Mtu anaweka bando ili kuja kumsimanga mtu aliyemzidi kila kitu ili kujipa faraja..!! 🥹
Faraja na furaha ya maskini ni tajiri kufilisika, kufa na kugongewa mke. Yani hapo vijiwe vya umbea vinachangamka balaa na njaa inaisha kwa muda.

Ndo maana mimi nimeamua kujificha huku Monaco.

Nyau de adriz
 
izi herufi kwenye neno ziko 5, ukijumlisha na zile unapata 666.. Hawa ni madevolwoshipa



KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…