Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo. Wachina ndo wanaongoza kwa solar infrastructure dunianiMchina akiipata hii tech bati za solar tutauziwa moja kwa afu tatu
Una uhakika yataruhusiwa na huku?Ngoja tuyasubiri
Bora hizi za kawaidaYaani iko hivi, Tesla wana Solar roof zipo za aina mbili, ukitaka bati kabisa ambalo ni solar au kama tayari ushaweka bati unanunua panels.
Sema ni expensive saaaaaana, nakumbuka MKBHD ali review alitumia $100,000 premium version.
Si nadhani tuendelee na hizi za kawaida.
Bora tubaki kwa taa_ neskokwa bei ya milioni 260, niseme labda matumizi yangu kwa mwezi ni umeme wa laki 2, ina maana ili kurudisha ela hiyo ni miaka 108 labda kinachonikimbiza tanesco iwe ni kukatikatika kwa umeme otherwise sinunui.
Kama ni bongo hawakulipi tena wewe ndio utawalipa kwasababu unatumia jua la serikaliYah hapa inafaa sana maana jua la kutosha, tanesco wangefanya kama US umeme ukiwa mwingi unarudi kwenye grid wanakulipa kama akina mkbh
Not to that extentMchina akiipata hii tech bati za solar tutauziwa moja kwa afu tatu