Elon Musk aachia project mpya iitwayo Tesla Solar Roofs

Bora hizi za kawaida
 
kwa bei ya milioni 260, niseme labda matumizi yangu kwa mwezi ni umeme wa laki 2, ina maana ili kurudisha ela hiyo ni miaka 108 labda kinachonikimbiza tanesco iwe ni kukatikatika kwa umeme otherwise sinunui.
Bora tubaki kwa taa_ nesko
 
Yah hapa inafaa sana maana jua la kutosha, tanesco wangefanya kama US umeme ukiwa mwingi unarudi kwenye grid wanakulipa kama akina mkbh
Kama ni bongo hawakulipi tena wewe ndio utawalipa kwasababu unatumia jua la serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…