Baada ya figisu figisu za muda mfupi kumzuia mkurugenzi mkuu wa kampuni ya space X na mtu tajiri zaidi duniani kwa paper assets bwana Elon Musk hatimaye amefanikiwa kuununua mtandao wa twitter
Mpaka sasa makundi ya haki za binadamu hayaelewi twitter chini ya mmiliki huyo mpya kama itaweza kupambana na matamshi ya chuki
Pia mpaka sasa haijawa wazi juu ya mamillion ya accounts za twitter ambazo zilipigwa permanent ban ikiwemo ya mrepublican Donald Trump kama zitaondolewa zuio
Tajiri Elon Musk ametoa ahadi ya kuondoa censorship na kuweka wazi source code za mtandao wa twitter open source ili mtu yeyote aweze kuona namna mtandao huo unaendeshwa
Nadhani hapa bwana Maxence Melo utakuwa umepata cha kujifunza
Mpaka sasa makundi ya haki za binadamu hayaelewi twitter chini ya mmiliki huyo mpya kama itaweza kupambana na matamshi ya chuki
Pia mpaka sasa haijawa wazi juu ya mamillion ya accounts za twitter ambazo zilipigwa permanent ban ikiwemo ya mrepublican Donald Trump kama zitaondolewa zuio
Tajiri Elon Musk ametoa ahadi ya kuondoa censorship na kuweka wazi source code za mtandao wa twitter open source ili mtu yeyote aweze kuona namna mtandao huo unaendeshwa
Nadhani hapa bwana Maxence Melo utakuwa umepata cha kujifunza