Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Wakimtimua atawavua nguo. Ni rais sana kwenda Nchi kama RussiaHuyio hawawezi mtimu na hawana hiyo nguvu. Wanajua wakimtimua watapata hasara kiasi gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakimtimua atawavua nguo. Ni rais sana kwenda Nchi kama RussiaHuyio hawawezi mtimu na hawana hiyo nguvu. Wanajua wakimtimua watapata hasara kiasi gani.
🤣🤣Aombe Mungu tu D. Trump ashinde kwenye Kinyang'anyiro cha Urais
😁😁😁😁Aje Bongo huku, atapewa ardhi, mashirika, mbuga. Pesa yake tu.
Bi. Mdashi hana noma, kikubwa apate commission yake tu, mengine utaamua wewe mwenyewe.
Msouth africaKwani kiasili yeye ni raia wa nchi ipi?
Kuna nchi ambayo mazingira yake yanapelekea watu kupata fursa za kiuchumi zinazoweza kumfanya mtu aibuke kuwa tajiri sana mfano mzuri ni nchi kama Marekani.Wakimtimua atawavua nguo. Ni rais sana kwenda Nchi kama Russia
Umenena vyema mkuuKuna nchi ambayo mazingira yake yanapelekea watu kupata fursa za kiuchumi zinazoweza kumfanya mtu aibuke kuwa tajiri sana mfano mzuri ni nchi kama Marekani.
Ukiwa nchini Marekani unaweza kufanya shughuli zako na kuneemeka kiuchumi bila kuingiliwa na chama chochote cha kisiasa hata kama hukiungi mkono tofauti na nchi nyingi sana duniani.
Mfano mzuri sana ni hapa Tanzania ambapo ukiwa tajiri halafu ukipinge ccm na utajiri wako ndio unaishia hapo na unarudi kupanda dala dala na wengine lakini Marekani huwezi kukuta upumbavu kama huo.
South africaKwani kiasili yeye ni raia wa nchi ipi?
South africaKwani kiasili yeye ni raia wa nchi ipi?
Soth AfricaKwani kiasili yeye ni raia wa nchi ipi?
Wamtimue aende China au urusi maninaUtamtimuaje mtu mwenye mitambo ya teknolojia kubwa sayari ya Mars?
Utajiri wa Jamaa ni around $440b..Tajiri la kwanza duniani walitimue 😄
Mnatania eti
Mpunga wake ni $269b jamani hata kama
Wewe mgeni mwenye tajiri akija kwako ungemfukuza?
America ni nchi ya fursa ukiitumia vizuri
Ingawa kuna walala hoi kibao
South africaKwani kiasili yeye ni raia wa nchi ipi?