Elon Musk ametuletea Smartphone ambazo zipo juu zaidi ya iPhone za huyu bwana Steve Jobes?

Hapo hakuna akili extraordinary aliyotumia.

Internet ya satelite ipo miaka mingi sana.

Yeye ni mtu famous anatumia kujipigia promo.
 
Mleta Mada uko shallow sana kwenye izi mambo tulia watu wanavyokueleza kuwa umekurupuka na ujafanya utafiti wa kisomi hakuna kitu kama iko kutoka kwa elon
 
dah mgen una bwebwe nying
 
Bei yake vipi? Nataka kuvunja kibubu mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Simu iliyo na teknolojia ya hali ya juu iliyofafanuliwa hapa chini ingegharimu zaidi ya dola elfu chache. Matoleo yatakayofuata yanaweza kushuka kwa bei kadiri watu wengi wanavyoanza kutumia teknolojia, lakini hatungetarajia kwamba marudio ya mara ya kwanza yanaweza kununuliwa kwa watu wengi.

Kwa kuchukulia simu ni ya kweli (tena, hatufikirii hivyo) na kwamba itaanza kimsingi kwa vipengele vichache tu vya uvumi, inaweza kuwa na $800-$1,200 zaidi.
 
Asilimia kubwa ya watu ni kuropoka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…