Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iweke kwa tsh nawee, mie hapo hata sijaelewaKati ya $2000 hadi $5000
[emoji23][emoji23][emoji23] siibiwi kirahisi hivyooo.Vunja kibubu wahuni waibe upate presha
Niambie wee mwenyewe.ka gugo[emoji4]
Around Tsh 4m mpaka tsh 10mIweke kwa tsh nawee, mie hapo hata sijaelewa
Kheeeeeh abaki nazo mwenyewe huko huko kwao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Around Tsh 4m mpaka tsh 10m
Hahaha... Tunakoelekea simu zitakuwa na bei za magari.Kheeeeeh abaki nazo mwenyewe huko huko kwao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
10m akat ni pesa yangu ya maisha yote, had nakufaa. LolHahaha... Tunakoelekea simu zitakuwa na bei za magari.
Haha.. Usiwaze ndugu, kuna siku utakuwa na mapesa ya kutosha, hata kununua simu ya milioni 10.10m akat ni pesa yangu ya maisha yote, had nakufaa. Lol
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mwambie sponsor akununulie ila kijasho kikutokeKheeeeeh abaki nazo mwenyewe huko huko kwao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nina ka iPhone macho matatu hapa haina kazi tena 13 pro max 😎😎Bei yake vipi? Nataka kuvunja kibubu mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unafanya uvuvi hapa,Ila uvuvi haram[emoji28]Nina ka iPhone macho matatu hapa haina kazi tena 13 pro max [emoji41][emoji41]
😅😅😅😅 Hakana kazi ndio maana nimempa mchongo kama vipi fresh .. ndoana safi kabisa hiiUnafanya uvuvi hapa,Ila uvuvi haram[emoji28]
Hapana, khaaahHaha.. Usiwaze ndugu, kuna siku utakuwa na mapesa ya kutosha, hata kununua simu ya milioni 10.
Haya naiomba baba pasta, na mie nisumbue mjiniNina ka iPhone macho matatu hapa haina kazi tena 13 pro max [emoji41][emoji41]
Hata km, 10m pesa yangu had nakufaaa. Woiiiiiiiihmmhh ila ina tegemea na umri ulionao sasa