Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

Pia, hii huduma ipo kwa makampuni mengine mfano Baiduu (China) na Waymo (USA), tatizo ni kwamba wao hawana hardware.

Waymo ba Baiduu wao wanaweza chukua Toyota Prius hafu wakainstall software yao ikawa robotaxi.

Ila Cybercab ni totally Robotaxi yaani haina steering kabisa.
 
Hio teknolojia wala sio ngumu wala ngeni issue ni mapokeo ya watu kwenye Jamii..., Jamii bado haijawa tayari kwa mass usage ya hivi vitu ingawa kiuhalisia ni more safe kuliko dereva
 
Elon si ana project ya kwenda Mars au?
Huyu jamaa ana projects nyingi sana ila almost zote ni maneno tu . Alisema atatengeneza miwani inayofanya vipofu waone, aliahidi atatengeneza magari yanayopaa kama ndege pia alisema gari zake za tesla zitaweza kutumika kama boti. Alisema atasafirisha binadamu laki moja kwenda sayari ya mars. Ana ahadi nyingi sana Huyu jamaa ukifatilia ni mtu wa porojo sana ila anaaminika kwasababu ni mzungu.
 
Huyu jamaa ana projects nyingi sana ila almost zote ni maneno tu . Alisema atatengeneza miwani inayofanya vipofu waone, aliahidi atatengeneza magari yanayopaa kama ndege pia alisema gari zake za tesla zitaweza kutumika kama boti. Alisema atasafirisha binadamu laki moja kwenda sayari ya mars. Ana ahadi nyingi sana Huyu jamaa ukifatilia ni mtu wa porojo sana ila anaaminika kwasababu ni mzungu.
Matokeo huanza na wazo, helicopter tunazoziona leo zilianzia kwenye wazo la mtu ambaye allishia njiani kabla ya kulikamilisha,na waliofuata waliendeleza wazo hilo hadi kulifikisha hapa lilipo, na kuna wengine wataendelea kulisongesha hadi mahali ambapo hakuna anayedhani kuwa ingewezekana, relax
 
Matokeo huanza na wazo, helicopter tunazoziona leo zilianzia kwenye wazo la mtu ambaye allishia njiani kabla ya kulikamilisha,na waliofuata waliendeleza wazo hilo hadi kulifikisha hapa lilipo, na kuna wengine wataendelea kulisongesha hadi mahali ambapo hakuna anayedhani kuwa ingewezekana, relax
Yah upo sahihi kabisa. elon musk ni mtu wa mawazo sio kutenda . Ana mawazo mengi sana ila karibu yote yanaishia kuwa mawazo tu na sio vitendo na uhalisia.
 
Huyu jamaa ana projects nyingi sana ila almost zote ni maneno tu . Alisema atatengeneza miwani inayofanya vipofu waone, aliahidi atatengeneza magari yanayopaa kama ndege pia alisema gari zake za tesla zitaweza kutumika kama boti. Alisema atasafirisha binadamu laki moja kwenda sayari ya mars. Ana ahadi nyingi sana Huyu jamaa ukifatilia ni mtu wa porojo sana ila anaaminika kwasababu ni mzungu.
Tumpe muda ,kila kitu kinaanza na mawazo,hata miaka hiyo kabla mobile phone haijaanza kutumika ,waona mbali walisema miaka ijayo mtu atakuwa ana uwezo wa kutembea na simu kwenye mfuko wa suruali wengi walikuwa hawaamini maana simu ya mwanzo ilikuwa inajaa chumba cha mita 5 kwa 5.
 
Pia, hii huduma ipo kwa makampuni mengine mfano Baiduu (China) na Waymo (USA), tatizo ni kwamba wao hawana hardware.

Waymo ba Baiduu wao wanaweza chukua Toyota Prius hafu wakainstall software yao ikawa robotaxi.

Ila Cybercab ni totally Robotaxi yaani haina steering kabisa.
sass mkuu gari haina steering wala breki pedal inaenda vp huko barabarani na pia huko kujiendesha yenyewe si inaweza kugongwa na watumiaji wa magari mengine barabarani.!
 
Huyu jamaa ana projects nyingi sana ila almost zote ni maneno tu . Alisema atatengeneza miwani inayofanya vipofu waone, aliahidi atatengeneza magari yanayopaa kama ndege pia alisema gari zake za tesla zitaweza kutumika kama boti. Alisema atasafirisha binadamu laki moja kwenda sayari ya mars. Ana ahadi nyingi sana Huyu jamaa ukifatilia ni mtu wa porojo sana ila anaaminika kwasababu ni mzungu.
Mawazo kama hayo yapo mengi tu na yamesajiliwa
 
Back
Top Bottom