Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

sass mkuu gari haina steering wala breki pedal inaenda vp huko barabarani na pia huko kujiendesha yenyewe si inaweza kugongwa na watumiaji wa magari mengine barabarani.!
Inaendeshwa kwa ADAS (Advanced Driving Assistance System) level 5 ambayo ni full autonomous.

Gari inakua na sensors, camera na LiDAR mbalimbali nje na ndani zinazosaidia gari kuongeza speed, kupunguza, kusimama au kukata kona.

Hii waliyozindua hawajasema idadi, ila mfano Model 3 ina sensors 12, camera 8, ultrasonic sensora kadhaa na radar kadhaa za kuona kwenye fog na mvua kali.
 
Kwenye Tesla event ya tar 10 mwezi October California iliyopewa jina la “We Robot”, Elon Musk, CEO wa Tesla, amezindua magari ya kukodi yanayojiendesha yenyewe, Cybercab na Robovan.
View attachment 3121468
Cybercab ni gari dogo yenye gull-wing door isiokuja na steering wheel wala pedal za breki wala mafuta, itakayofanya kazi ya robotaxi na itauzwa kwa chini ya $30,000 tu.
View attachment 3121469View attachment 3121470
Gharama ya kukodi ni cent 20 kwa kila 1.6 km tu.
View attachment 3121471View attachment 3121472
Elon pia akazindua van inayoitwa Robovan ambayo inaweza kubeba hadi watu 20, ambayo gharama zake itakua cent 5-10 kwa kila kilometa 1.6 hivi.
Haujaeleza itaendeshwaje!

Halafu pesa ya ukwasi dollar 30,000 unaandika $30000 tu kama unataja pesa ya madafu!

Hiyo fedha si haba, ni fedha ndefu sana kuweza kuinunua.
 
Haujaeleza itaendeshwaje!

Halafu pesa ya ukwasi dollar 30,000 unaandika $30000 tu!

Hiyo fedha si haba, ni fedha ndefu sana kuweza kuinunua.
Nimeelezea hapo juu.

Nacopy na kupaste:

Inaendeshwa kwa ADAS (Advanced Driving Assistance System) level 5 ambayo ni full autonomous.

Gari inakua na sensors, camera na LiDAR mbalimbali nje na ndani zinazosaidia gari kuongeza speed, kupunguza, kusimama au kukata kona.

Hii waliyozindua hawajasema idadi, ila mfano Model 3 ina sensors 12, camera 8, ultrasonic sensora kadhaa na radar kadhaa za kuona kwenye fog na mvua kali.
 
Haujaeleza itaendeshwaje!

Halafu pesa ya ukwasi dollar 30,000 unaandika $30000 tu kama unataja pesa ya madafu!

Hiyo fedha si haba, ni fedha ndefu sana kuweza kuinunua.
Kuhusu kununua, hii ni robotaxi sio gari ya kununua ili uende nayo kazini ni gari unanunua zinakua zako (yako) kama gari ya Uber.

Sasa badala ya kumpa dereva aendeshe inakua inajiendesha yenyewe.

Kwahiyo mtu mmoja from home anakua anazimonitor gari ata 10.
 
I, ROBOT Vs WE, ROBOT
20241012_111403.jpg
 
Duuh wenzetu wapo mbali ,,mpaka hii technology ifike kwetu mda utakuwa umeenda sana
Mchawi miundombinu. Sehemu za kuchaji na barabara zetu.

Hii gari kujiendesha inafuata alama za barabarani sasa sisi unafika mataa unakuta trafiki amesimama anaongoza magari wakati taa zizpo.
 
Huyu jamaa ana projects nyingi sana ila almost zote ni maneno tu . Alisema atatengeneza miwani inayofanya vipofu waone, aliahidi atatengeneza magari yanayopaa kama ndege pia alisema gari zake za tesla zitaweza kutumika kama boti. Alisema atasafirisha binadamu laki moja kwenda sayari ya mars. Ana ahadi nyingi sana Huyu jamaa ukifatilia ni mtu wa porojo sana ila anaaminika kwasababu ni mzungu.
Kaishafanya zotekasoro ya gari kupaa tu
 
sass mkuu gari haina steering wala breki pedal inaenda vp huko barabarani na pia huko kujiendesha yenyewe si inaweza kugongwa na watumiaji wa magari mengine barabarani.!
Tafuta clip moja ya mpoki huko youtube aliipanda na kuanza kuonesha madoido.
 
Back
Top Bottom