Inaendeshwa kwa ADAS (Advanced Driving Assistance System) level 5 ambayo ni full autonomous.sass mkuu gari haina steering wala breki pedal inaenda vp huko barabarani na pia huko kujiendesha yenyewe si inaweza kugongwa na watumiaji wa magari mengine barabarani.!
Nadhani itatengenezewa njia yake kama mwendokasisass mkuu gari haina steering wala breki pedal inaenda vp huko barabarani na pia huko kujiendesha yenyewe si inaweza kugongwa na watumiaji wa magari mengine barabarani.!
Haujaeleza itaendeshwaje!Kwenye Tesla event ya tar 10 mwezi October California iliyopewa jina la “We Robot”, Elon Musk, CEO wa Tesla, amezindua magari ya kukodi yanayojiendesha yenyewe, Cybercab na Robovan.
View attachment 3121468
Cybercab ni gari dogo yenye gull-wing door isiokuja na steering wheel wala pedal za breki wala mafuta, itakayofanya kazi ya robotaxi na itauzwa kwa chini ya $30,000 tu.
View attachment 3121469View attachment 3121470
Gharama ya kukodi ni cent 20 kwa kila 1.6 km tu.
View attachment 3121471View attachment 3121472
Elon pia akazindua van inayoitwa Robovan ambayo inaweza kubeba hadi watu 20, ambayo gharama zake itakua cent 5-10 kwa kila kilometa 1.6 hivi.
Nimeelezea hapo juu.Haujaeleza itaendeshwaje!
Halafu pesa ya ukwasi dollar 30,000 unaandika $30000 tu!
Hiyo fedha si haba, ni fedha ndefu sana kuweza kuinunua.
Kuhusu kununua, hii ni robotaxi sio gari ya kununua ili uende nayo kazini ni gari unanunua zinakua zako (yako) kama gari ya Uber.Haujaeleza itaendeshwaje!
Halafu pesa ya ukwasi dollar 30,000 unaandika $30000 tu kama unataja pesa ya madafu!
Hiyo fedha si haba, ni fedha ndefu sana kuweza kuinunua.
I liked the Movie, I liked the novel, The cars are nice looking too.I, ROBOT Vs WE, ROBOT
View attachment 3122453
Mchawi miundombinu. Sehemu za kuchaji na barabara zetu.Duuh wenzetu wapo mbali ,,mpaka hii technology ifike kwetu mda utakuwa umeenda sana
oooh kumbeMchawi miundombinu. Sehemu za kuchaji na barabara zetu.
Hii gari kujiendesha inafuata alama za barabarani sasa sisi unafika mataa unakuta trafiki amesimama anaongoza magari wakati taa zizpo.
Baadhi ya miji marekani wanazo teksi zisizokuwa na dereva.uyu jamaa vitu ambavyo tumewahi viona kwenye movies yeye anavileta kwenye uhalisia
unaweza dhani ni sci-fi movie
Kaishafanya zotekasoro ya gari kupaa tuHuyu jamaa ana projects nyingi sana ila almost zote ni maneno tu . Alisema atatengeneza miwani inayofanya vipofu waone, aliahidi atatengeneza magari yanayopaa kama ndege pia alisema gari zake za tesla zitaweza kutumika kama boti. Alisema atasafirisha binadamu laki moja kwenda sayari ya mars. Ana ahadi nyingi sana Huyu jamaa ukifatilia ni mtu wa porojo sana ila anaaminika kwasababu ni mzungu.
Tafuta clip moja ya mpoki huko youtube aliipanda na kuanza kuonesha madoido.sass mkuu gari haina steering wala breki pedal inaenda vp huko barabarani na pia huko kujiendesha yenyewe si inaweza kugongwa na watumiaji wa magari mengine barabarani.!