Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Kama vile Mimi nisivyoona ubaya wako kwa kuwa nakupendaHuwa sioni baya la Kanye
Labda kwasababu nampenda sana
Baada ya Michael Jackson nadhani kwa sasahivi anaetafutiwa sababu ni Kanyewest.. Tokea amekoka Dunia nyingine imekua ikimuendea kombo vibaya mno..Account ya Kanye West ya Twitter imekuwa suspended kwa madai kuwa amevunja sheria za twitter na kuandika lugha inayoashiria uvunjifu wa amani.
View attachment 2433198
Asubuhi ya December 2, Kanye alipost picha ya Elon akiwa anamwagiwa maji mwili wake ukiwa mnene tofauti na alivyo sasa, na aliandika kuwa hiyo ni post yake ya mwisho.
View attachment 2433199
Elon Musk amekana kuwa picha hiyo ndio ilimfanya amfungie Kanye badala yake ni suala la Kanye kuvunja sheria za twitter.
View attachment 2433200
Kanye West siku kadhaa zilizopita alifungiwa kutumia Instagram na Facebook baada ya kutoa lugha mbaya kwa waisrael.
Baada ya kumlima Ban, Elon akatweet neno FAFO (F*ck Around & Find Out) kwa kiswahili kisicho Rasmi, Zingua Uone
HahahaKuficha hisia Ni dhambi kubwa Sana ...Bora nimetua kinyongo...ngoja niendeleze Maombi..
Music genius sema anapanic kijinga sana. Hapa nakumbuka alivyopanic na kujibu mbaya kwa Wiz Khalifa baada ya Wiz kupost neno KK akimaanisha bangi zake (Wiz) na Kanye akajua jamaa anamzungumzia Kim KadarshianHuwa sioni baya la Kanye
Labda kwasababu nampenda sana
Account ya Kanye West ya Twitter imekuwa suspended kwa madai kuwa amevunja sheria za twitter na kuandika lugha inayoashiria uvunjifu wa amani.
View attachment 2433198
Asubuhi ya December 2, Kanye alipost picha ya Elon akiwa anamwagiwa maji mwili wake ukiwa mnene tofauti na alivyo sasa, na aliandika kuwa hiyo ni post yake ya mwisho.
View attachment 2433199
Elon Musk amekana kuwa picha hiyo ndio ilimfanya amfungie Kanye badala yake ni suala la Kanye kuvunja sheria za twitter.
View attachment 2433200
Kanye West siku kadhaa zilizopita alifungiwa kutumia Instagram na Facebook baada ya kutoa lugha mbaya kwa waisrael.
Baada ya kumlima Ban, Elon akatweet neno FAFO (F*ck Around & Find Out) kwa kiswahili kisicho Rasmi, Zingua Uone
Baada ya Michael Jackson nadhani kwa sasahivi anaetafutiwa sababu ni Kanyewest.. Tokea amekoka Dunia nyingine imekua ikimuendea kombo vibaya mno..
Mara waseme anamatatizo Ya akili n.k..
All in all Elon na Kanyewest ni marafiki sana.. Isije kuwa bwana Elon kaona kuwa karibu na Elon kunaweza kumuangusha kupitia vikwazo vya wayahudi wa mchongo
Yani hata anavyopanic napendaMusic genius sema anapanic kijinga sana. Hapa nakumbuka alivyopanic na kujibu mbaya kwa Wiz Khalifa baada ya Wiz kupost neno KK akimaanisha bangi zake (Wiz) na Kanye akajua jamaa anamzungumzia Kim Kadarshian
View attachment 2433225View attachment 2433227
Kama vile alivyoenda kupanga nyumba inayotazamana na anapoishi Kim KadarshianYani hata anavyopanic napenda