PayPal alishaiuza kitamboHuyo mkaburu ni hatari, anaimiliki Paypal pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PayPal alishaiuza kitamboHuyo mkaburu ni hatari, anaimiliki Paypal pia
Unawazungumzia maprofesa hawa wanajiusisha na siasa au unawazungumzia maprofesa wa wapi?Ndiyo usimlaumu sana magraduate lawama ni serikali zetu
Ideas nyingi za vijana zinakufa kwa kuwa hawapati support
Lakini kungekuwa na sekta kwa ajili ya maswala hayo ya kudeal na gunduzi kwamba unafika unawaeleza maprofesa wenye fani inayoendana na Jambo lako na wakijiridhisha na idea yako wanaandika proposal ufadhili utoke kwa kila unachohitaji kufanikisha jambo lako
Yes wapo watakaonunua kwa sababu kuna anticipated gain wanayotegemea kupata endapo kampuni itaingiza faida, lakini pia, endapo kampuni ikiingiza hasara na wao watapata hasara, hivyo ununuaji wake ni wa kwa machale machale, huo utajiri wake sio clear cut kama unavyoweka humuAlisema auze hizo hisa kuna atakaye nunua??
Hahaha sawa sawa mkuu. Endelea ku doubt hakuna tatizo, ila Katiz mitaa ya kilombero utanikutaaaaaanshaanza kudoubt hata hayo matunda huuzi wewe[emoji16]...hii mitano inapagawisha
Yani wewe sidhani kama hata una uwezo wa kununua zile hisa za voda za mia tano tano zile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nipo mimi
Sasa mkuu watakao nunua watanunua kwa bei gani yani maana kwa utajiri wake wa $188b ...unadhani kuna atakayeweza ku afford kununua hizo hisa kweli?Yes wapo watakaonunua kwa sababu kuna anticipated gain wanayotegemea kupata endapo kampuni itaingiza faida, lakini pia, endapo kampuni ikiingiza hasara na wao watapata hasara, hivyo ununuaji wake ni wa kwa machale machale, huo utajiri wake sio clear cut kama unavyoweka humu
Unaweza nunua leo tu kesho mzigo ukashuka pwaa utafanyeje..?Kwanini wasinunue
Wee hata uweleweki mantiki yako kwani tajiri gani ana sifa hizo unazosema wote wanasaminishwa na hisa duniani alafu usifikiri kwamba hata hizo kampuni hisa zikifeli hadi zero ndio watakuwa sio matajiri kwa utajiri wa Dollar 190 Billion hakosi kuwa na cash ya matrillion ya pesa kwa account sYes wapo watakaonunua kwa sababu kuna anticipated gain wanayotegemea kupata endapo kampuni itaingiza faida, lakini pia, endapo kampuni ikiingiza hasara na wao watapata hasara, hivyo ununuaji wake ni wa kwa machale machale, huo utajiri wake sio clear cut kama unavyoweka humu
Hanunii mmojaSasa mkuu watakao nunua watanunua kwa bei gani yani maana kwa utajiri wake wa $188b ...unadhani kuna atakayeweza ku afford kununua hizo hisa kweli?
Maisha yangeenda kama hivyo matajiri wangekuwa wanakuwa maskini kikasikuUnaweza nunua leo tu kesho mzigo ukashuka pwaa utafanyeje..?
Hisa zinagawanywa nankuwa nyingi, unaweza kuta hisa moja inauzwa labda laki 5Sasa mkuu watakao nunua watanunua kwa bei gani yani maana kwa utajiri wake wa $188b ...unadhani kuna atakayeweza ku afford kununua hizo hisa kweli?
Huo utajiri unaotajwa unajumuisha cash pia walizonazo bank, ofcourse, mengine sijakuelewaWee hata uweleweki mantiki yako kwani tajiri gani ana sifa hizo unazosema wote wanasaminishwa na hisa duniani alafu usifikiri kwamba hata hizo kampuni hisa zikifeli hadi zero ndio watakuwa sio matajiri kwa utajiri wa Dollar 190 Billion hakosi kuwa na cash ya matrillion ya pesa kwa account s
nikajua nikatize mitaa ya catalunya ntakukuta kumbe kilomberoHahaha sawa sawa mkuu. Endelea ku doubt hakuna tatizo, ila Katiz mitaa ya kilombero utanikutaaaaaa
Tulia wewe...Au nikuoneshe stocks zangu za amazon na Apple nazomiliki?Yani wewe sidhani kama hata una uwezo wa kununua zile hisa za voda za mia tano tano zile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazaliwa Africa. Na alikuwa raia wa South Africa. Ndio kilichobaki Kwa Sisi Waafrika.
ila kwenye hii dunia kuna vipaji vya ajabu!Imagine Elon Musk alijua vipi kuwa gari zinazotumia umeme ndiyo future cars?!
upya walioufanya ni kuuendeleaza hizo electrochemical batteries na kufanya precisely rectification.Zilikuwepo tangu miaka ya 1900 mwanzoni, kilichozitoa sokoni ni kushuka kwa gharama za mafuta (petrol na diesel). Hawa wamezifufua tena kwa kuboresha teknolojia.
Picha chini ni gari ya mwaka 1898 aina ya Porsche (mbunifu akiwa ni Ferdinand Porsche)
Chanzo: The history of Porsche begins electrically
![]()
The history of Porsche begins electrically
The electric powertrain is embedded deep in the Porsche DNA.newsroom.porsche.com
Dahh, uko dunia gani wewe????Huyo jamaa ana bidhaa gani au huduma gani ya kumpa utajiri huo? Wateja wake in kina nani? Kama simuamini amini
Sio tuu magari ya umeme, sema kampuni kubwa ya magari duniani, soon Toyota hatoona ndani. SpaceX, Starlink, The boring co, Solarcity, Neurolink, Starship.najua tu magari ya umeme na ana mambo ya satellites