Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Kwa kweli kwa nature ya afrika nasema kuwa ni ngumu sana au ni kama haiwezekani kufika walipofika hawa wenzetu,safari unaona kabisa ni ndefu na yenye miba huku tukizungukwa na simba wakali....ulafi, tamaa, ubabe wa ajabu ndo yote hayo waafrika daaaahh so sad kwa kweli wenzetu wamefanikiwa na niwaachie iki kitu tu "when you control your thoughts you control your mind, when you control your mind you control your life, once you reach a stage of being in a total control of your life you became the master of your own destine"
Bro nimechukua kitu hapo,I second this
 
Anakuja kuwa tajiri wa kudumu kwa sababu kumbuka dunia inakuja kuhama kutoka kwenye kutumia magari ya mafuta kwenda kwenye kutumia magari ya umeme na yeye ameshawahi kwenye soko tayari.Maana yake makampuni yatakayokuja kushindana nae yatapata changamoto kubwa sana!
Ninachomaanisha, alicho nacho si pesa kwenye akaunti zake, bali ni shares/stocks. Nadhani umenielewa, leo akisema auze shares zako zote ili apate cash akaweke benki, hatopata hata robo ya huo utajiri unaotajwa, nasema uongo?
 
Ule uzi uliodanganya watu upo spain.

kama umezaliwa August.. na 2019 ulikuwa 25 basi mpaka 2021 August ndo ungefikisha hiyo 27.
Ndo hivyo mzee wa kazi ..na mimi nataka kuwa kama Elon musk..[emoji3][emoji3][emoji3] au nasema uwongo ndugu zangu..
 
Hafanyi biashara na maskini mzee, huyu jamaa anakodisha mitambo ya kwenda angani kwa makampuni makubwa kama NASA etc, ulitengemea umskie anauza juice?
Mimi nauza juice na siyo masikini...acha kudharau wauza juice wewe...[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ninachomaanisha, alicho nacho si pesa kwenye akaunti zake, bali ni shares/stocks. Nadhani umenielewa, leo akisema auze shares zako zote ili apate cash akaweke benki, hatopata hata robo ya huo utajiri unaotajwa, nasema uongo?
Alisema auze hizo hisa kuna atakaye nunua??
 
Point ya msingi hapa ni kwamba sie waafrika in general tunafanya survival mode developements.

We dnt value wasomi...tunawachukulia poa. Hamna nchi iliyoendelea duniani bila kuwathamini wanasayansi na mchangao wao.

Wenzetu wakikuona weee kichwa wanakwambia uraia huu hapa braza njoo tupigie kazi huku.
Kweli.
 
Hahahahah sipati picha pengine ningepoa tu maana kila kitu katika maisha ningeafford.
Yani.. kuna ka raha flani hivi.. unge kakosaa. Kila kitu kikiwa ndani ya uwezo wako.. na unakipata anytimw kuna raha inapungua
 
Yani.. kuna ka raha flani hivi.. unge kakosaa. Kila kitu kikiwa ndani ya uwezo wako.. na unakipata anytimw kuna raha inapungua
Sindio maana wana donate funds huku kwetu. It makes them feel better. Ni kweli angalia mtu akiwa hana kazi na akiwa na kazi nzuri!

Furaha iko mwanzoni ukianza kununua vitu ambavyo ulikuwa unavitaka ila ukivizoea its no longer fun! Inakuwa kawaida tu. Raha ni ile ari ya kujichanga ununue kitu kisha unafanikisha. By the end possessions ukiwa nazo nyingi basi unajiona kama kuna kitu kimepungua.
 
Sindio maana wana donate funds huku kwetu. It makes them feel better. Ni kweli angalia mtu akiwa hana kazi na akiwa na kazi nzuri!

Furaha iko mwanzoni ukianza kununua vitu ambavyo ulikuwa unavitaka ila ukivizoea its no longer fun! Inakuwa kawaida tu. Raha ni ile ari ya kujichanga ununue kitu kisha unafanikisha. By the end possessions ukiwa nazo nyingi basi unajiona kama kuna kitu kimepungua.
Ningepaki kila aina ya mkoko yani.. 😀😀.. kwangu ningeweka bonge la lounge la 7 star.. tunashinda na masela tunakula raha.. bata batani tu..
 
Ningepaki kila aina ya mkoko yani.. 😀😀.. kwangu ningeweka bonge la lounge la 7 star.. tunashinda na masela tunakula raha.. bata batani tu..
Ukishaweka hilo dah, wahuni wote ndani 😁😁😁 mwendo wa heineken na mama kali kali. Tukipindua ni Hennessy na fegi mara maji kidogo ile kikulungwa.
 
Back
Top Bottom