Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Bro utajiri wa 21century haangalii bidhaa sana,kumbuka kuna service.jamaa alinza PayPal as service provider, now he has
•spaceX(including starlink)
•Tesla(includingSOLARCITY)hapa hataki kusikia kitu kinaitwa Giza duniani anataka kuingaza dunia
•The boring company
•OpenAI
•Neuralink(hapa hyperloop)
But this should be a wakeup call to African countries kupitia upya sheria zao,south africa wasingekuwa na uraia pacha ndoto zake zingekufa.
Huko deep web waanamini huyu ndio satoshi nakamoto aka Mr bitcon
Kwenye paypal hayuko peke yake. Halafu makampuni yanoyotoa huduma kama PayPal yapo mengi. Hizo taasisi zake nyingine zimeshaanza kutengeneza fedha? Kwa namna gani?
Mkuu kama hayo maswali mawili niliyokuuliza hapo mwisho una majibu yake naomba uyajibu vyema,itakuwa ni faida kwa wengi.
 
Kwenye paypal hayuko peke yake. Halafu makampuni yanoyotoa huduma kama PayPal yapo mengi. Hizo taasisi zake nyingine zimeshaanza kutengeneza fedha? Kwa namna gani?
Mkuu kama hayo maswali mawili niliyokuuliza hapo mwisho una majibu yake naomba uyajibu vyema,itakuwa ni faida kwa wengi.
Kinamchompandisha utajiri ni hisa za kampuni zake. SpaceX ina tests mbili zijazo na so far wanafanya vizuri kwenye test zilizopita. Wanataka kuwa na reusable rockets hivo wana support kubwa ya NASA, wanunuaji wa hisa wakiona kampuni ina support kubwa ya NASA na ni leading kwenye teknolojia wanamwaga sana pesa kwenye kampuni hivo mwenye asilimia za hisa anazidi kuwa na pesa nyingi.

Tesla imeuza magari karibia laki 5 kama ilivopanga, hii imewapa imani wawekezaji kuwa kampuni ina mipango inatekelezeka hivo wanaongeza fedha na hawauzi hisa zao. Tesla imeuza magari machache lakini ndio kiongozi kwenye magari ya umeme ambayo ndio yatakuja tumika mbeleni. Kwanza ina mpango wa kujaza vituo vya kuchaji kila nchi ya Ulaya, China na US. Kwa nini mtu asiwekeze huku? Wachache watawekeza Coca cola wakati haina invention yoyote ya maisha.

Ana mpango wa kufanya utalii na kuchimba madini kwenye sayari ya Mars. Tiyari hao NASA wanajua madini yapo na shughuli zake atapinzana na kampuni flani ya Jeff Bezos. Hili soko ushindani hakuna, pesa za nje nje.

Neuralink yake inataka kufanya mageuzi kwenye artificial intelligence na ina mwanzo mzuri ingawa haina breaking news na ina staff ndogo tu.

The Boring Company wanataka wagundue teknolojia ya nishati mbadala wa lithium kwenye kuhifadhi charge. Ulimwengu ujao utatumia umeme na betri zinabidi zitengenezwe kwa gharama ndogo, ziwe bora, zidumu, performance kubwa. Yani maana yake wanataka kugundua mbadala wa Lithium, ambayo ni mbadala wa mafuta. Sasa kwa nini wasiwe na hela wakifanikiwa. Wawekezaji wataweka hela tu

Kwa vile yeye ndio anaanzisha makampuni yote haya anakuwa na hisa zake nyingi mfano pale Tesla ana 20%. Kama Jeff Bezos ana 10% kwenye Amazon, Tesla mwenye makampuni kibao akiunganisha thamani zote anakuwa na hela nyingi.
 
Kinamchompandisha utajiri ni hisa za kampuni zake. SpaceX ina tests mbili zijazo na so far wanafanya vizuri kwenye test zilizopita. Wanataka kuwa na reusable rockets hivo wana support kubwa ya NASA, wanunuaji wa hisa wakiona kampuni ina support kubwa ya NASA na ni leading kwenye teknolojia wanamwaga sana pesa kwenye kampuni hivo mwenye asilimia za hisa anazidi kuwa na pesa nyingi.

Tesla imeuza magari karibia laki 5 kama ilivopanga, hii imewapa imani wawekezaji kuwa kampuni ina mipango inatekelezeka hivo wanaongeza fedha na hawauzi hisa zao. Tesla imeuza magari machache lakini ndio kiongozi kwenye magari ya umeme ambayo ndio yatakuja tumika mbeleni. Kwanza ina mpango wa kujaza vituo vya kuchaji kila nchi ya Ulaya, China na US. Kwa nini mtu asiwekeze huku? Wachache watawekeza Coca cola wakati haina invention yoyote ya maisha.

Ana mpango wa kufanya utalii na kuchimba madini kwenye sayari ya Mars. Tiyari hao NASA wanajua madini yapo na shughuli zake atapinzana na kampuni flani ya Jeff Bezos. Hili soko ushindani hakuna, pesa za nje nje.

Neuralink yake inataka kufanya mageuzi kwenye artificial intelligence na ina mwanzo mzuri ingawa haina breaking news na ina staff ndogo tu.

The Boring Company wanataka wagundue teknolojia ya nishati mbadala wa lithium kwenye kuhifadhi charge. Ulimwengu ujao utatumia umeme na betri zinabidi zitengenezwe kwa gharama ndogo, ziwe bora, zidumu, performance kubwa. Yani maana yake wanataka kugundua mbadala wa Lithium, ambayo ni mbadala wa mafuta. Sasa kwa nini wasiwe na hela wakifanikiwa. Wawekezaji wataweka hela tu

Kwa vile yeye ndio anaanzisha makampuni yote haya anakuwa na hisa zake nyingi mfano pale Tesla ana 20%. Kama Jeff Bezos ana 10% kwenye Amazon, Tesla mwenye makampuni kibao akiunganisha thamani zote anakuwa na hela nyingi.
Umejibu vizuri sana
 
Sii ujinga wetu wakusema graduates wajiajiri ...watu na masters anaendesha bajaj alafu tunasema kajiongeza upuuzi mtupu.

Sie ubunifu wetu ni wa survival mode wenzetu ni wamaendeleo na maendelea yanaletwa na watu kufanya kazi kulingana na kile walichosomea
Ivi ungekuwa na mpunga kwa wa musk ungeishije 😃😃😃

anasbo mrangi
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Mwambie afanye haraka nataka tufyatue jiniazi awamu hii ya mi5tena.
Nimeisha mpatia details zako.. soon anakucheki.. maana huwa ananiheshimu sana na hapendi longo longo.. sasa usiniangushe.. usije mkataa bure au kuanza mzungusha zungusha
 
Solo la hisa au Soko?
Jeff Bezon akiwa na $188 ?????

1. Edit pls kampuni yake not Kampuni take.

Mimi Binafsi najua Bill Gates ndio ana utajili Asili wa Cash sio wengine hadi Wauze Makampuni yao ndio Wawe na Cash hizo zinazoandikwa
Hata bilgert hana hizo Cash...nayeye ana stocks huko Microsoft
 
Back
Top Bottom