Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Hahahah usimcheke bana muelekeze
Aisee nashindwa hata nianzeje kumwelekeza. Ilibidi nicheke kuona jamaa anasema Elon ana deal na spice (Mawazo yakaja ya mdalasini, giligilani etc) wakati mshua anadili na roketi, magari ya umeme etc.

Elon Musk ni level ingine. Alisoma shahada ya Economics na Physics, na alipoenda kufanya PhD, alijongo baada ya siku 2 tu chuoni, akaenda kufungua biashara.

Kampuni yake (SpaceX) ni kampuni ya kwanza private duniani kumpeleka mwanadamu kwenye space. Ameondoa monopoly ya Urusi waliokuwa nayo kwa miaka 9 baada ya program ya space shuttle kufika ukingoni. Nakumbuka test ya kwanza ya roketi yake alipeleka gari yake ya Tesla angani na mpaka sasa ipo anga za juu.



Yapo mengi kuhusu Elon na SpaceX ambayo waweza kuyaona youtube.
 
Similarily, shares zinaweza kushuka kwa 90% toka zilipo sasa ndani ya mwaka mmoja na akarudi alikotoka, sivyo? Maana anything is only as worth as what people are willing to pay for it, sivyo?
Ndiyo mkuu? Unachotakiwa saaa hivi weww is to think where your next meal will come from
 
Kwa kweli kwa nature ya afrika nasema kuwa ni ngumu sana au ni kama haiwezekani kufika walipofika hawa wenzetu,safari unaona kabisa ni ndefu na yenye miba huku tukizungukwa na simba wakali....ulafi, tamaa, ubabe wa ajabu ndo yote hayo waafrika daaaahh so sad kwa kweli wenzetu wamefanikiwa na niwaachie iki kitu tu "when you control your thoughts you control your mind, when you control your mind you control your life, once you reach a stage of being in a total control of your life you became the master of your own destine"
 
We mbona unavuta ganja umeishia kuwatukana wazazi wako matusi ya nguoni.Utajiri wake umekuja baada ya matumizi sahihi ya akili yake na wala sio matumizi ya misokoto ya bangi.
Mimi sivuti bangi, nimeandika hapo kuonesha kuwa bangi si kama tunavyoichukulia
 
Shares of Tesla are up another 4.2% today and with that, Tesla CEO Elon Musk has passed Jeff Bezos to become the world's richest person, according to Bloomberg calculations. His net worth is $188 billion dollars, about $1.5 billion more than Bezos....
Aaaah!, sijapandishwa mshahara huu mwaka wa tano! Krismasi na mwaka mpya nimekula ubwabwa kwa pesa ya mkopo. Ada za watoto ndiyo kimbembe sasa. Kesho yangu ni giza. Uzi wa aina hii wa matrionea unanifanya nihisi nilikuja duniani kimakosa!.
 
Aisee nashindwa hata nianzeje kumwelekeza. Ilibidi nicheke kuona jamaa anasema Elon ana deal na spice (Mawazo yakaja ya mdalasini, giligilani etc) wakati mshua anadili na roketi, magari ya umeme etc....
Naam mkuu upo deep.... Mi pia Ni mpenzi wa Technology na Engineering.. Basi angalau Kama nimeshindwa kusoma na kufanya Basi niwe mpenzi mtazamaji na mshabiki😂😂😂😂😂
 
Ulaya wanasayansi ndo matajiri huku kwetu wanasayansi ni maskini wa kutupwa .....utashangaa mtu wa mipango pale NHC anakula pesa ndefu kuliko Architecture..so sad
Wenzetu wanasayansi was wanagunfua vitu na kuviingiza sokoni wa kwetu kazi kupiga yowe tu ohh serikali inatulipa mishahara kidogo wanasayansi!!!
 
Cheap tena ohoooo! Yaleyale ya kina Billgates na software yake... Hawa jamaa sijui wana mipango gani na dunia hii aisee!

EVERYTHING IS PLANNED
 
ila kwenye hii dunia kuna vipaji vya ajabu!Imagine Elon Musk alijua vipi kuwa gari zinazotumia umeme ndiyo future cars?!
Zilikuwepo tangu miaka ya 1900 mwanzoni, kilichozitoa sokoni ni kushuka kwa gharama za mafuta (petrol na diesel). Hawa wamezifufua tena kwa kuboresha teknolojia.
Picha chini ni gari ya mwaka 1898 aina ya Porsche (mbunifu akiwa ni Ferdinand Porsche)
Chanzo: The history of Porsche begins electrically
 
Huyu angekuwa Tanzania angekumbana na uhujumu uchumi hadi angekoma na ndoto zake zingefia hapo kama ambavyo vijana wengi imekuwa hivyo wanapojaribu kuinuka.

Maxcom Afrika(Max Malipo) sijui yupo wapi maskini
 
Back
Top Bottom