Doctizo Mtengwa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2019
- 828
- 1,513
Elon musk,
Ni miongoni mwa wasayansi bora kuwahi kuishi karne ya 20
Ni miongoni mwa wasayansi bora kuwahi kuishi karne ya 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha. Wewe ambaye huoti teuzi umefikia wapi katika kutengeneza satellite ya kitanzania.Hongera nyingi sana kwa bwana Elon Musk.
Sisi huku vijana wetu bado wanaota teuzi.
Sii ujinga wetu wakusema graduates wajiajiri ...watu na masters anaendesha bajaj alafu tunasema kajiongeza upuuzi mtupu.Ulaya wanasayansi ndo matajiri huku kwetu wanasayansi ni maskini wa kutupwa .....utashangaa mtu wa mipango pale NHC anakula pesa ndefu kuliko Architecture..so sad
Sii ujinga wetu wakusema graduates wajiajiri ...watu na masters anaendesha bajaj alafu tunasema kajiongeza upuuzi mtupu.Ulaya wanasayansi ndo matajiri huku kwetu wanasayansi ni maskini wa kutupwa .....utashangaa mtu wa mipango pale NHC anakula pesa ndefu kuliko Architecture..so sad
Kivip MkuuNani alikwambia bongo kuna matajiri!!!?
hapa kuna madalali tu.....
na wachuuzi
Mkuu wangu kila jamii hata zile za kijima (Primitive Societies) zina wanasayansi wengi,
Tatizo ni kwamba mkoloni aliua viwanda asilia na sisi baada ya uhuru tumevikacha,
Tukataka tuige kila kitu kutoka kwa wenzetu, jambo zuri lakini nadhani ni gumu.
I second this.Mkuu wangu kila jamii hata zile za kijima (Primitive Societies) zina wanasayansi wengi,
Tatizo ni kwamba mkoloni aliua viwanda asilia na sisi baada ya uhuru tumevikacha,
Tukataka tuige kila kitu kutoka kwa wenzetu, jambo zuri lakini nadhani ni gumu.
Sayansi ya kwetu ya asili inapigwa vita.Mkuu wangu kila jamii hata zile za kijima (Primitive Societies) zina wanasayansi wengi,
Tatizo ni kwamba mkoloni aliua viwanda asilia na sisi baada ya uhuru tumevikacha,
Tukataka tuige kila kitu kutoka kwa wenzetu, jambo zuri lakini nadhani ni gumu.
Ile nimeingia PCB Advance, nikakutana na Chemical Kinetics & Equilibrium na Organic Chemistry zimevimbaaaa!Hahaha. Wewe ambaye huoti teuzi umefikia wapi katika kutengeneza satellite ya kitanzania.
It's a fact! Ana asili ya Afrika.Utasikia "Huyu jamaa ana asili ya afrika"
Spice?? Ha ha ha ha! Rafiki, na wewe si unge google ?Huyo jamaa yeye anaproject kubwa anafaya ya spiceX na pia anatengeneza vifaa mbalimbali vya spice.
Pia jamaa anatengeza gari za kuchaji,wanaziita Tesla Cars.
Vitu vingine jaribu google kaka.
Hahaha. Natania tu Mkuu. Ila concern yako ni ya msingi. Ipo shida katika mfumo wetu elimu. Tunahitaji reform ili uchochee ubunifu na kujiajiri.Ile nimeingia PCB Advance, nikakutana na Chemical Kinetics & Equilibrium na Organic Chemistry zimevimbaaaa!
Nikasema shida ya nini kufia shule kisa kumfurahisha baba, asubuhi nikajibebea mizigo yangu nikakimbia shule.
Hivyo mimi siyo mwanasayansi kama Dr Kigwangala au Prof Joyce Ndalichako waliopewa teuzi.
Umeipata wapi hii bossBila kusahau jamaa ni mvuta ganja mzuri sana
There'll be miracles when you believe Mr Rumplelstiltskin,I'll be first
Simple! Watu wengi duniani wanataka efficiency kwa gharama nafuu! Its always been like that ndio maana Passo,IST,Starlet, Runx ndio gari zilizozagaa mjini.ila kwenye hii dunia kuna vipaji vya ajabu!Imagine Elon Musk alijua vipi kuwa gari zinazotumia umeme ndiyo future cars?!
Hahahah usimcheke bana muelekezeSpice?? Ha ha ha ha! Rafiki, na wewe si unge google ?
Akina PayPal, SpaceX, Tesla/magari yatumiayo umeme inshort jamaa huyu engineer msouth Africa licha ya kudrop kwHuyo jamaa ana bidhaa gani au huduma gani ya kumpa utajiri huo? Wateja wake in kina nani? Kama simuamini amini
Nami nimeshangaa jamaa anasema kuna wanasayansi bongoMkuu huku kwetu hakuna wanasayansi ila kuna waliosoma sayansi!