Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Dakika 37 zilizopita majarida maarufu ya kibiashara nchi Marekani yalitangaza kuwa Bw Elon Musk kuwa ndio mtu tajiri zaidi duniani akimpita CEO wa Amazon Jeff Bezos.

Solo la hisa za makampuni ya Elon Musk mmiliki wa kampuni la Kiteknolojia la SpaceX linalijishughulisha na Safari za anga, Boring Company, na mengine meengi yamepanda kwa Kasi Sana na kumfanya mtu tajiri zaidi duniani kufikia dola za kimarekani BILIONI 190, huku Jeff Bezos akiwa na $188. Na nafasi ya tatu akiwa Bill Gates

Ndoto za Elon Musk; katika mahojiano yake na kituo Cha televisheni aliwahi kusema kuwa ili ndoto zake zitimie ni lazima ahamie nchini Marekani, hivyo alifanya kila namna ahame nchini Afrika Kusini kwenda Marekani japo wazazi wake hawakupenda.

1. NDOTO YAKE YA KUTOA HUDUMA YA INTERNET BURE DUNIA NZIMA.
Mpaka Sasa kampuni take ya safari za anga SpaceX imefanikiwa ku'install' satelitte zaidi ya sitini na alipohojiwa alikiri kuwa na ndoto za kutoa huduma za data bure miaka ya usoni

2. NDOTO YA KUHIFADHI KUMBUKUMBU ZA WATU KIELEKTRONIKI
Pia billionea huyu mtaalam wa programu za kompyuta Ali"launch" project ya kuhifadhi kumbukumbu za binadamu kwa njia ya data kwa kutengeneza mfumo wa chips ambazo zitaweza kuzifanya kompyuta iwasiliane na ubongo na kuchukua taarifa

3. KUITAWALA SAYARI YA MARS
Pia kampuni ya spaceX wanafanikiwa Sana Safari za kwenda sayari ya Mars na kufanya tafiti za mbali,. Yeye alitumia misamiati wa "aim to colonize Mars" .
Achana na Teknolojia aisee
Huyo ndio Elon Musk
Solo la hisa au Soko?
Jeff Bezon akiwa na $188 ?????

1. Edit pls kampuni yake not Kampuni take.

Mimi Binafsi najua Bill Gates ndio ana utajili Asili wa Cash sio wengine hadi Wauze Makampuni yao ndio Wawe na Cash hizo zinazoandikwa
 
Hawa hela zao zinapanda na kushuka kutokana na stocks zao zinavyopqnda na kushuka.

Siwezi kushangaa Bezos akipanda tena, kukawa na mchuano wa kudumu kati ya hawa wawili.

Elon Musk aliwaasa wafanyakazi wake waliofurahia umilionea kwa sababu ya stocks zao kupanda, aliwaambia wasifurahi sana stocks kupanda, maana zitashuka kwa kasi hiyo hiyo zilivyopanda.
 
Umeipata wapi hii boss
Utakuwa humjui vizuri mzee wa space X, wa nyumbani.

Analipuliza vizuri tu
180-1801413_sticker-other-elon-musk-joint-beuh-elon-musk.jpg
 
Shares of Tesla are up another 4.2% today and with that, Tesla CEO Elon Musk has passed Jeff Bezos to become the world's richest person, according to Bloomberg calculations. His net worth is $188 billion dollars, about $1.5 billion more than Bezos.

In the past 12 months, Musk's net worth has risen by more than $150 billion on a 750% rise in Tesla's share price. He owns 20% of the company but also holds options that are now worth $42 billion.

The Tesla chart is breathtaking
Tesla musk

Tesla is now the world's sixth-largest company.

It's not just Musk, the 500 richest people in the world added 31% to their wealth last year, according to Bloomberg

---
Noma sana tama kujua kuhusu hizo mambo za hisa, yaani unaeza kuta mtu anapiga pesa yule kwa kitanda
 
Elon Musk overtakes Jeff Bezos to become world's richest person.


Elon Musk edged past Amazon founder Jeff Bezos to grab the title of world's richest person, according to Bloomberg.

A 6% rise in Tesla (TSLA) shares early Thursday lifted the value of its CEO's stock holdings and options by $10 billion, taking his net worth to about $191 billion. A more modest rise of less than 2% lifted Bezos' Amazon (AMZN) shares by about $3 billion, putting his net worth at $187 billion.

Bloomberg's real-time billionaire tracker still has Bezos about $3 billion ahead of Musk. But the tracker doesn't update until the end of the trading day. Bloomberg posted an article confirming Musk's title.


Bill Gates is now a distant third at $132 billion, according to Bloomberg.

The Forbes real-time tracker still has Musk and Bezos $18 billion apart as of the close of trading Wednesday, after Bezos lost $4.3 billion in the value of his Amazon (AMZN) stock. Although the broader market was up sharply Wednesday, Big Tech stocks, including Amazon, fell on concerns that Democratic control of the Senate could mean greater scrutiny and regulation on the industry.

Another gain in Tesla (TSLA) shares Wednesday lifted Musk's net worth by $4.1 billion to $165.4 billion, according to Forbes' calculations. But Forbes does not appear to be giving Musk credit for the value of options he received in 2020 to buy an additional 33.6 million shares of Tesla.

Musk is also the primary shareholder and CEO of SpaceX, though SpaceX is privately held, so its value does not fluctuate as much as the value of Tesla.

Bezos' stake in Amazon shares increased by $75 billion in 2020, to $173.3 billion, given the huge increase in sales driven by the Covid-19 pandemic.

But that was nothing compared to Musk's holdings in Tesla. The 170 million shares of Tesla he already owns increased in value by $106 billion during 2020, as shares shot up 743% during the course of the year.

The value of his stock options he held at the start of the year increased by $14.2 billion, while the new options he received during the course of the year as part of his pay package had a value of $21.5 billion at year's end.

Musk caught Gates for the title of the world's second-richest person in late November, but Tesla shares have increased in value by 45% since then, lifting Musk's net worth by $53 billion over the past couple months.


Tesla short sellers lost $40 billion in 2020. Elon Musk made more than triple that
Tesla shares are off to a good start in 2021, rising more than $90 a share, or 13%, since the start of this year, including the gains early Thursday. That has lifted Musk's Tesla holdings and options by about $21 billion this year. Meanwhile, Amazon's stock was down slightly for the year as of late morning Thursday.

Musk is set to qualify for options to buy another 16.9 million shares of Tesla early this year, according to company filings. Those options would be worth $12.3 billion at the shares' current value, after taking into account the exercise price.

Bezos does not have any Amazon stock options, only the 53.2 million shares he has as the company's founder. He would have had more if he hadn't given 19.7 million shares to his ex-wife, MacKenzie Scott, in his divorce. Bezos has also sold off or has given away shares as part of his charitable donations. Musk has never disposed of any Tesla shares.

Bezos isn't the only one that Musk caught up to Thursday. ExxonMobil (XOM), the United States' most valuable oil company, had a market value at midday Thursday of just under $191 billion. So Musk, who is a leading advocate of switching drivers around the world from gas and diesel to electric vehicles, is for the time being at least worth more than America's largest oil company.
-276705831.jpg
 

Attachments

  • -149192418.jpg
    -149192418.jpg
    75.2 KB · Views: 1
Sayansi ya kwetu ya asili inapigwa vita.

Mfano ili suala la " kusafiri kwa ungo kutoka Sumbawanga kwenda Tanga" ingeimarishwa na kuboreshwa,Wazungu ,Waarabu na hata dunia nzima wangetupigia magoti maana gharama ya dizeli, petroli na usafiri zingeshuka.!
Wakasema ni dhambi! Africa balaa tupu.
 
Elon musk aliwahi kusema this quote
"a sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic"
 
Back
Top Bottom