ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
HahahahahaSayansi ya kwetu ya asili inapigwa vita.
Mfano ili suala la " kusafiri kwa ungo kutoka Sumbawanga kwenda Tanga" ingeimarishwa na kuboreshwa,Wazungu ,Waarabu na hata dunia nzima wangetupigia magoti maana gharama ya dizeli, petroli na usafiri zingeshuka.!