Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Neurolink inadili na nini mkuu?Bro huyu jamaa Ni next Level Project zake si za kimchezomchezo...
1. Space X inahusika na kurusha Satellite na wanaanga anga za Juu kwa malipo.
2. Tesla Inc Magari ya umeme batteries na Solar Panel.
3. Boring kuchimba njia za Ardhin
4. Neurolink
5. Wengine waongezee
Anakuja kuwa tajiri wa kudumu kwa sababu kumbuka dunia inakuja kuhama kutoka kwenye kutumia magari ya mafuta kwenda kwenye kutumia magari ya umeme na yeye ameshawahi kwenye soko tayari.Maana yake makampuni yatakayokuja kushindana nae yatapata changamoto kubwa sana!Similarily, shares zinaweza kushuka kwa 90% toka zilipo sasa ndani ya mwaka mmoja na akarudi alikotoka, sivyo? Maana anything is only as worth as what people are willing to pay for it, sivyo?
Hongera nyingi sana kwa bwana Elon Musk.
Sisi huku vijana wetu bado wanaota teuzi.
Mkuu huku kwetu hakuna wanasayansi ila kuna waliosoma sayansi!Ulaya wanasayansi ndo matajiri huku kwetu wanasayansi ni maskini wa kutupwa .....utashangaa mtu wa mipango pale NHC anakula pesa ndefu kuliko Architecture..so sad
Mkuu wangu kila jamii hata zile za kijima (Primitive Societies) zina wanasayansi wengi,Mkuu huku kwetu hakuna wanasayansi ila kuna waliosoma sayansi!
Neurolink inadili na nini mkuu?
Point.. na Hiki ndicho amekilengaAnakuja kuwa tajiri wa kudumu kwa sababu kumbuka dunia inakuja kuhama kutoka kwenye kutumia magari ya mafuta kwenda kwenye kutumia magari ya umeme na yeye ameshawahi kwenye soko tayari.Maana yake makampuni yatakayokuja kushindana nae yatapata changamoto kubwa sana!
Nani alikwambia bongo kuna matajiri!!!?Huyu jamaaa yuko so simple.
Ukifatilia twit zake utajiuliza ndo huyu kweli..?
Sio kama matajiri wa kibongo.
Mikausho mikali😀😀