johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Ni hilo tu 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa hivi mtu anatengeneza maroboti atashindwa kukagua serikali. Elon Musk anaweza kukagua serikali yetu ndani ya nusu saa.Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
BIla kuwa na kichwa kinachochaji vyema ubillionia utausikilizia kwenye bomba.Bahati iliyoje kaaminiwa na bilionea mwenzake akihitaji umahiri wake kwenye technology umsaidie kuwa nyoosha wavivu,warasimu,omba omba na wala kwa kamba.Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
D.O.G.EJe, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Ana taaluma ya kudonate hela kwenye uchaguzi, ametumia si chini ya Bilioni 600 kwenye uchaguzi, hivyo inampa mamlaka hayo.Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Bila kuwa mwizi na mkwepaji kodi pia ubilionea unausikia kwenye RedioBIla kuwa na kichwa kinachochaji vyema ubillionia utausikilizia kwenye bomba.Bahati iliyoje kaaminiwa na bilionea mwenzake akihitaji umahiri wake kwenye technology umsaidie kuwa nyoosha wavivu,warasimu,omba omba na wala kwa kamba.
Nimekuelewa sana 😄Dunia ya sasa haitaji vyeti mambo ya vyeti na cv waachie waafrika dunia inahitaji maintelligence na sio maintellectual ambao Wana masters na hawajui kujisimamia
Siyo lazima,jinsi ya kuziona fursa na kuzitumia,mfano ukiunda teknolojia mpya na ukawa unajua jinsi ya kuitumia ikunufaishe zaidi sioni kama ni wizi,hiyo ni kufuta jasho lako,hata hivyo itakuwa jambo la muda na kadiri uelewa unaongezeka mianya hiyo inapungua na maboresho yanafanya kuondoa mapyngufu.Bila kuwa mwizi na mkwepaji kodi pia ubilionea unausikia kwenye Redio
Unataka kutuambia Mabilionea wote wa Tanzania ni wezi na wakwepa kodi ?Bila kuwa mwizi na mkwepaji kodi pia ubilionea unausikia kwenye Redio
Pana taasisi mjini hapa zinagawa chakula bure kwa homeless na wahitaji ngoja tuone kama zitaendeleatunahitaji kujua ,
bando(furushi) la dawa lilikuwa linatolewa
Furushi la chakula ,alikuwa anapewa nan? kwasababu haiwezekani zimezwe dawa tupu ,na chakula achukue mwingine
Sio za misaada tu ambazo ni chembe tu ya mzunguko wa Marekani, kaachiwa na hazina na database za walipa kodi wote hadi wabunge wamekuja juu kumtaka Trump amtimue haraka sanaJe, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼