Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ukiwa na kibali wewe utaonekana unafaa kwa yote kuliko mwingine yeyoteJe, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na kibali wewe utaonekana unafaa kwa yote kuliko mwingine yeyoteJe, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Ukianzisha hayo maswali na uchunguzi hakuna atakayekujibutunahitaji kujua ,
bando(furushi) la dawa lilikuwa linatolewa
Furushi la chakula ,alikuwa anapewa nan? kwasababu haiwezekani zimezwe dawa tupu ,na chakula achukue mwingine
Unamfananishaje Ellon na huyo Assad mwenye sijda kubwa km "kitumbua cha nchele"Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu
Taaluma yake ni kama ya Kafulila. Maana na nyie mnamuamini sana huyo TumbiliJe, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Mchawi wa wanufaika wa USAID,mmemwona?
Lengo ni kuziamsha Bongo lalaTaaluma yake ni kama ya Kafulila. Maana na nyie mnamuamini sana huyo Tumbili
Tumblr hana Kiwanda hata cha peremende 😀Taaluma yake ni kama ya Kafulila. Maana na nyie mnamuamini sana huyo Tumbili
Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Swali gani hili Sasa, 🙂🙂🙂Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Na hata hivyo kwa kumuongezea, ukiachilia mbali status ya utajiri wake, ubunifu, na uwezo wake. Pia jamaa anayo elimu nzuri katika masuala ya uchumi, biashara, na phizikia, labda pengine anafikiri jamaa hawajui wanachokifanya.Dunia ya sasa haitaji vyeti mambo ya vyeti na cv waachie waafrika dunia inahitaji maintelligence na sio maintellectual ambao Wana masters na hawajui kujisimamia
Yaani mtu wa duniani mwenye IQ kubwa unamfananisha na maamuma kweli?Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Mkuu kumbe USAID walikuwa wanatoa na msosi kwa wagonjwa wa TZ, ila viongozi wa ccm wanazila ?.tunahitaji kujua ,
bando(furushi) la dawa lilikuwa linatolewa
Furushi la chakula ,alikuwa anapewa nan? kwasababu haiwezekani zimezwe dawa tupu ,na chakula achukue mwingine
Wale vijana wak wanne mmoja tu anaweza kukagua hesabu zote za mapato na matumiz ya serikal ya ccm tangia Tanzania ipate uhuru kwa masaa 5
Ni Mwalimu Mwandamizi wa Diploma Korogwe TCJenister mhagama ana taaluma gani Hadi apewe wizara ya afya?
Huyu mwana ccm hawezi kuelewa mpaka aambiwe na mwenyekiti wa ccm. Unapoteza muda kumwambia mtu anae amini kuwa na kili ni kuwa chawa wa mwana ccmWe jamaa hivi mtu anatengeneza maroboti atashindwa kukagua serikali. Elon Musk anaweza kukagua serikali yetu ndani ya nusu saa.
Hizo software mnazo process data ili mkague mahesabu wakina Elon ndio wana program.
Tena wana program from scratch. Wana code formula zote wanaweka wao. Ninyi mnanunua software lakini hamwelewi hata tone formula zilizowekwa ndani ya hizo Softwares.
Ila nahisi wafanyakazi wao wenyewe USAID ni wezi wamekuwa wakishirikiana na viongozi wa Africa kufanya wizi wa walioa Kodi za USA.Ukianzisha hayo maswali na uchunguzi hakuna atakayekujibu
Watu wamepiga hela hadi Trump kashtukia 🙌
Ila mnaamini atawaletea mradi wa Trilioni 13. Kweli wajinga mmejazana Lumumba kwa wingiTumblr hana Kiwanda hata cha peremende 😀
Na nauli ya kufuatia dawa sio chakula tu. Yaani mwenye HIV amelipiwa kila kitu kasoro biatunahitaji kujua ,
bando(furushi) la dawa lilikuwa linatolewa
Furushi la chakula ,alikuwa anapewa nan? kwasababu haiwezekani zimezwe dawa tupu ,na chakula achukue mwingine