nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Huyo ndio anatakiwa asimamie na kuidhinisha na kuaandaa mipango ya research ili chanjo ya malaria na ukimwi ipatikane. ahahahahahahaaaaaa. Bora ata Ummy alikuwa anaelewa kidogo kuliko huyu wa sasa ataweza na hizi taarifa za magonjwa ya mlipuko ya kila mara????Ni Mwalimu Mwandamizi wa Diploma Korogwe TC