Elon Musk ana taaluma gani hadi aaminiwe kusimamia Ukaguzi wa Fedha za Misaada ya Marekani Duniani kote?

tunahitaji kujua ,

bando(furushi) la dawa lilikuwa linatolewa

Furushi la chakula ,alikuwa anapewa nan? kwasababu haiwezekani zimezwe dawa tupu ,na chakula achukue mwingine
Ukianzisha hayo maswali na uchunguzi hakuna atakayekujibu

Watu wamepiga hela hadi Trump kashtukia ๐Ÿ™Œ
 
Ndio keshaaminiwa hivyo, regardless of elimu aliyonayo
 
Dunia ya sasa haitaji vyeti mambo ya vyeti na cv waachie waafrika dunia inahitaji maintelligence na sio maintellectual ambao Wana masters na hawajui kujisimamia
Na hata hivyo kwa kumuongezea, ukiachilia mbali status ya utajiri wake, ubunifu, na uwezo wake. Pia jamaa anayo elimu nzuri katika masuala ya uchumi, biashara, na phizikia, labda pengine anafikiri jamaa hawajui wanachokifanya.
 
tunahitaji kujua ,

bando(furushi) la dawa lilikuwa linatolewa

Furushi la chakula ,alikuwa anapewa nan? kwasababu haiwezekani zimezwe dawa tupu ,na chakula achukue mwingine
Mkuu kumbe USAID walikuwa wanatoa na msosi kwa wagonjwa wa TZ, ila viongozi wa ccm wanazila ?.
 
Huyu mwana ccm hawezi kuelewa mpaka aambiwe na mwenyekiti wa ccm. Unapoteza muda kumwambia mtu anae amini kuwa na kili ni kuwa chawa wa mwana ccm
 
tunahitaji kujua ,

bando(furushi) la dawa lilikuwa linatolewa

Furushi la chakula ,alikuwa anapewa nan? kwasababu haiwezekani zimezwe dawa tupu ,na chakula achukue mwingine
Na nauli ya kufuatia dawa sio chakula tu. Yaani mwenye HIV amelipiwa kila kitu kasoro bia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ