Huyo ndio anatakiwa asimamie na kuidhinisha na kuaandaa mipango ya research ili chanjo ya malaria na ukimwi ipatikane. ahahahahahahaaaaaa. Bora ata Ummy alikuwa anaelewa kidogo kuliko huyu wa sasa ataweza na hizi taarifa za magonjwa ya mlipuko ya kila mara????Ni Mwalimu Mwandamizi wa Diploma Korogwe TC
Elon Musk Kwa Tanzania ataanza na huyo huyo Tumblr na Pipi zake 😀Ila mnaamini atawaletea mradi wa Trilioni 13. Kweli wajinga mmejazana Lumumba kwa wingi
Wizi wa fedha huwa ni mnyororoIla nahisi wafanyakazi wao wenyewe USAID ni wezi wamekuwa wakishirikiana na viongozi wa Africa kufanya wizi wa walioa Kodi za USA.
Sifa ya kwanza hana njaa ni mtu aliyefanikiwa sana, akili hupimwa kwa mafanikio ya mtu na si vyeti vyake, kwa mfano ukikutana na Prof afu maskini naye ni mtu hafai kwa uongozi wa umma sababu elimu yake haijamsaidia chochote.Je, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Hio technology mpya unaundaje? Elon anaanza mambo ya tesla tayari ana ukwasi wa maana, kutoka 0 kuwa milionea ama Bilionea hapo ndio watu wanapoiba ila kutoka Bilioni 5 kwenda 10 ama 100 ndio hapo unapopewa stori jinsi gani fulani ni genius.Siyo lazima,jinsi ya kuziona fursa na kuzitumia,mfano ukiunda teknolojia mpya na ukawa unajua jinsi ya kuitumia ikunufaishe zaidi sioni kama ni wizi,hiyo ni kufuta jasho lako,hata hivyo itakuwa jambo la muda na kadiri uelewa unaongezeka mianya hiyo inapungua na maboresho yanafanya kuondoa mapyngufu.
Amesoma degree za uchumi na fizikiaJe, Elon Musk ni mtaalam wa maswala ya Fedha kama Prof Alhaj Assad wa Tanzania?
Ni hilo tu 🐼
Na.nauli mkuu ,vifurushi hivyo viwili alikuwa anachukua nani ...furushi lilikuwa na bando TATU(dawa,chakula na nauli)Mkuu kumbe USAID walikuwa wanatoa na msosi kwa wagonjwa wa TZ, ila viongozi wa ccm wanazila ?.
Bila utapeli na ulaghai huwezi kuwa bilionea dunia hii ninavyoona mimi.BIla kuwa na kichwa kinachochaji vyema ubillionia utausikilizia kwenye bomba.Bahati iliyoje kaaminiwa na bilionea mwenzake akihitaji umahiri wake kwenye technology umsaidie kuwa nyoosha wavivu,warasimu,omba omba na wala kwa kamba.
Pengine kwa mazingira ya bongoBila utapeli na ulaghai huwezi kuwa bilionea dunia hii ninavyoona mimi.
Baba -mwajuma # 45 amenena vyemaPengine kwa mazingira ya bongo
Umaskini umekuathiri mnoBila kuwa mwizi na mkwepaji kodi pia ubilionea unausikia kwenye Redio
Hakuna mtu mwenye akili timamu mwanae akampa jina la mwajumaBaba -mwajuma # 45 amenena vyema
Kwa nini?Hakuna mtu mwenye akili timamu mwanae akampa jina la mwajuma
Tanzania tumewahi kuwa na Mabilionea wawili tu, Mohammed Dewji na Rostam Aziz, sasa hivi tuna Bilionea mmoja kama data hazijabadilika karibuni. Na wote hawakwepi hizo tuhuma.Unataka kutuambia Mabilionea wote wa Tanzania ni wezi na wakwepa kodi ?
BIG BALLS anakagua tokea TANU ndani ya 1 week.Wale vijana wak wanne mmoja tu anaweza kukagua hesabu zote za mapato na matumiz ya serikal ya ccm tangia Tanzania ipate uhuru kwa masaa 5
Mr clean na mungwana Wana KESI ya kujibu hapaNa.nauli mkuu ,vifurushi hivyo viwili alikuwa anachukua nani ...furushi lilikuwa na bando TATU(dawa,chakula na nauli)