Elon Musk anakaa tu na wanawake haoi wewe kapuku unapambana

Elon Musk anakaa tu na wanawake haoi wewe kapuku unapambana

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.

Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
 
Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10. Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
Mkuu,

Huoni kuwa, kwa post hii, na wewe unahangaika na watu wanaohangaika na wanawake, na hivyo wote mnahangaika tu?

Tena, huoni kuwa bora hata hao wanaohangaika kuhusu wanawake katika maisha yao.

Wewe unahangaika kuhusiana na watu usiowajua, ambao hawajakuomba ushauri, kwenye jambo usilolielewa vizuri?

Kwa nini watu wengi kama wewe mnakuwa wagumu kusema "jambo hili halina jibu moja la wazi kwa kila mtu, na kila mtu atajiamulia mwenyewe anavyoona katika maisha yake"?
 
Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10. Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
KATAA NDOA

NDOA NI UTAPELI
 
Kila mtu ana kusudi lake hapa duniani....Na kuiga kusudi la mwingine ni Upumbavu
Watanzania wengi kama mtoa mada hawaelewi maana ya uhuru wa mtu binafsi kujiamulia mambo yake mwenyewe.

Yani tunataka kugezea kwa Elon Musk maisha wakati uhalisia wake na wa kwetu tofauti kabisa.
 
Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10. Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
Nina watoto 6, kila mtoto na mama yake, wote ni wazaliwa wa kwanza
 
Huyo ana uwezo wa kuajiri wajakazi hata 100 kwa ajiri ya kumhudumia, wewe kajamba nani ukiumwa kidogo tu unakimbilia kwa mjomba kuuguzwa
Kwani si nimesema kama unaweza kulea au hujaelewa nikutumie mwalimu wa tuishieni.
 
Mie navyoona waliooa wake zao wanashobokea watu wengine ntaendelea na utaratibu wangu wa kuchakata mbususu tu kwa kweli. Imagine mke wa mtu anakuomba hela ya lotion unamwambia si una mume anakwambia hayo hayakuhusu we na mie tutamalizana kikubwa.
 
Back
Top Bottom