Elon Musk anakaa tu na wanawake haoi wewe kapuku unapambana

Elon Musk anakaa tu na wanawake haoi wewe kapuku unapambana

pesa haikai sehemu moja na wanawake, musk yeye wanawake sio swala la kubambania
 
Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.

Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
vitu vingine sio vya kuiga,jamaa anasababu zake huenda za msingi zaid ktk maisha yake sas sijui ww unasababu zipi!!au unaiga tu!!???/
 
lakini ana watoto na ana wachumba, kufanya ngono na asiye mke wako inaitwa "uasherati" au kwa kimombo "fornication". HIi ni dhambi na Mungu ameahidi kwamba watu kama hao hawataurithi uzima wa Milele. Ushauri wangu kwa vijana, usijisifu kwa kuwa na wanawake wengi, usijisifu kwa uzinzi, bali ajisifuye na ajisifu kwa kuwa anamjua Bwana, ameokoka na Mungu yupo maishani mwake. hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. hakuna uzinzi usio na mwisho mbaya, haupo in one way or another, mshahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.

hata sasa haujachelewa, bado lipo tumaini kwa maisha yeyote unayopitia, kwa dhambi zozote tunazoweza kuwa tumezifanya, Mungu aweza kutupokea tukibadilisha maisha yetu kwa kumkiri Yesu Kristo na kuokoka. Mungu atusaidie sote.
Kwa upeo tuliofikia hebu acha kujenga hoja kwa mizania ya ,,Mungu anakataza
Mwerekeo huu waachie akili mgando!
Hebu fikiria kidogo hii..
*ukae kitako na mtu mzima mwenzio. mkubaliane kufanya ngono. mfurahie tendo, na asidhurike mtu, mpate afya ya mwili na akili na mpange kufanya tena ...... alafu uibuke na swaga za ni kosa/dhambi/hitilafu/changamoto!
 
Halafu baadaye mnarudi mitandaoni kuwatukana wanawake kuwa hawajitunzi na hawajiheshimu ndio maana wanakuwa single mothers, pesa zenyewe ziko wapi za kuhudumia watoto zaidi ya kumi ikiwa wawili tu wanawatoa majasho, au ndio unataka uzalishe halafu uwaambie hao wanawake msaidiane majukumu ya kuhudumia hao watoto kana kwamba wewe uliwasaidia kuwalea tangu wadogo
 
Mie navyoona waliooa wake zao wanashobokea watu wengine ntaendelea na utaratibu wangu wa kuchakata mbususu tu kwa kweli. Imagine mke wa mtu anakuomba hela ya lotion unamwambia si una mume anakwambia hayo hayakuhusu we na mie tutamalizana kikubwa.
Ni sawa na wewe mwanaume uombe tendo kwa mwanamke mwingine kisha akuulize "si una mke wewe" utamjibuje
 
Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.

Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
Una hakika yuko kamili?
 
Back
Top Bottom