Kwa hiyo mama yako kwa uzoeful wako alikuwa Malaya anashobokea watu wengine wakati baba yako yupoMie navyoona waliooa wake zao wanashobokea watu wengine ntaendelea na utaratibu wangu wa kuchakata mbususu tu kwa kweli. Imagine mke wa mtu anakuomba hela ya lotion unamwambia si una mume anakwambia hayo hayakuhusu we na mie tutamalizana kikubwa.
Unajua zinamtoka hela kiasi gani kwa kuhudumia hao wanawake anaowaacha na watoto wao?sheria kule ulaya sio kama huku kwetu unazalisha na kukimbia tu hata hautoi huduma,kule ulaya kama hautoi huduma unaweza hata kufungwa jela,sheria ni kali sana.Yule mwenzio anafanya hivyo kwakuwa ana hela ya kutosha...Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.
Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
Kwani si nimesema kama unaweza kuhudumia au wapi nimesema zalisha ukimbie?Unajua zinamtoka hela kiasi gani kwa kuhudumia hao wanawake anaowaacha na watoto wao?sheria kule ulaya sio kama huku kwetu unazalisha na kukimbia tu hata hautoi huduma,kule ulaya kama hautoi huduma unaweza hata kufungwa jela,sheria ni kali sana.Yule mwenzio anafanya hivyo kwakuwa ana hela ya kutosha...
Punguza ushauri, watu wana mipango yao tayari.Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.
Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
Ikiwa unaoa hili uhudumiwe ukiumwaHuyo ana uwezo wa kuajiri wajakazi hata 100 kwa ajiri ya kumhudumia, wewe kajamba nani ukiumwa kidogo tu unakimbilia kwa mjomba kuuguzwa
Halafu unajitomber bwege weweππKATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
lakini ana watoto na ana wachumba, kufanya ngono na asiye mke wako inaitwa "uasherati" au kwa kimombo "fornication". HIi ni dhambi na Mungu ameahidi kwamba watu kama hao hawataurithi uzima wa Milele. Ushauri wangu kwa vijana, usijisifu kwa kuwa na wanawake wengi, usijisifu kwa uzinzi, bali ajisifuye na ajisifu kwa kuwa anamjua Bwana, ameokoka na Mungu yupo maishani mwake. hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. hakuna uzinzi usio na mwisho mbaya, haupo in one way or another, mshahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.
Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
Na siku Akiwa Shoga utataka na sisi tuwe Hivyo?....Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.
Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
Musk ana watoto wengi kuliko makapuku nani alikuambia matajiri wana watoto wachache?Maskini ndo wanaoa zaidi, na kuzaa watoto kama uzao wa panya..
Kwa hiyo kumbe hela ikiwepo usingle mother mnaukubali bila kujali mambo mengineSingle moms wa Elon wanajua kuna kitu cha ziada ambacho sio mapenzi, wewe unacho cha kuwashawishi nacho wakuzalie? Au unataka uzae kama panya uwaachie na mzigo single moms wa watu
β’ Sawa sikatai mkuu, Lakini wanateseka kama watoto wa walio zaliwa mbagala?? π€Musk ana watoto wengi kuliko makapuku nani alikuambia matajiri wana watoto wachache?
ππ, hii ni majabu, watoto wanahitaji matunzo mkuu, siyo unafyatua fyatua.. Ule ugali na chumvi, alafu utegemee huo ukoo mtakuwa matajili... Labda utajili wa utapiamlo.Kuna shida gani kuzaa sana
Nxhi zinazoongoza kuwa na mabilionea wengi ni zenye watu wengi yaani wateja wengi nchini mwao ukibana uzazi Azam hawezi kuwa bilinear wala chapati watakuwa wachache
Idadi kubwa ya watu ndio hutajirisha